FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
yaani inaboa sana Police kuua Raia mwenzake( mzawa) kisa kumnufaisha mkaburu ,Hivi ukiwa police na akili huwa inaharibika ?
CCM inaboa sana
CCM inaboa sana
Minuso tuu inawasumbua watu ,utashabiliaje serikali katili yeny kukiuka haki za binadamu kama hii
yaani inaboa sana Police kuua Raia mwenzake( mzawa) kisa kumnufaisha mkaburu ,Hivi ukiwa police na akili huwa inaharibika ?
CCM inaboa sana
Kila mara huwa nawakumbusha watanzania wenzangu kwamba hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kushabikia kile CCM na serikali yake wanafanya. Ukiachilia mabali yaliyotokea Tarime ya kuua wananchi wanaoenda kudai mali yao inayo dhulumiwa na wezi wa kizungu na vibaraka wao ndani ya nchi.
Angalia wanavyo shughulikia suala la umeme. Kikwete mwaka 2006 alitamka kwa mdomo wake kwamba ndani ya miaka 3 chini ya utawala wake mgao wa umeme utakuwa historia, sasa na asimame na athibitishe usemi wake huo!!
Kiinimacho kingine ni upumbavu wanaoufanya juu ya mitambo ya Dowans. Wanapitia mlango wa nyuma kununua mitambo hiyo wakidhani hatujui, wadadisi wa mambo mkitafuta info kidogo mtajua hiyo kampuni ya Symbion imefikiaje uamuzi wa kujitwika Dowans na hapo mtagundua tu kwamba ni jamaa wanazunguka mbuyu.
Niseme tu kwamba kwa CCM na serikali zake walipo tufikisha, si tegemei kwamba kuna mtu ana akili timamu anaweza kujiunga na chama hiki ambacho ni cha kuangamiza wananchi na mali zao.
Kwa ushabiki huu watanzania wengi watakufa vifo vya kujitakia.
Wafundisheni watoto wenu kuepuka udokozi kwenye mali za wawekezaji, acheni mawazo ya kimasikini la sivyo nyie na vizazi vyenu mtakufa vifo vya aibu.
Yaani nimeona hii heading Nimecheka kicheko kisicho na nusu.
Hivi majuzi nilikaa katika kilinge fulani na jamii moja ya wakulima, katika maongezi nilijaribu kujiweka katika support ya Chama Tawala.
One of the very old men told me and I quote ''yaani kijana na ujana wako wote huo unaiunga cccm mkono? Lazima utakua na matatizo'' End of quote.
Hili la Dowans ni kichekesho kitupu
Kampuni inatoka marekani kuja kununua mitambo mitumba tanzania
kama walikuw ana mpango wa kuzalisha kumeme kwa nini wasingekuja na mitambo mipya ya kuzalisha umeme badala yake wanakuja kununua mitambo mtumba tanzania
Ukimuona kijana anashabikia CCM ujue alinyonya ***** ya baba yake akiwa mdogo
Mimi si Mshabiki wa siasa lakini bado sijaona chama chenye kuckuwa nafasi ya ccm na hicho kinanifanya niwe mshabiki wa CCM, ... CCM hii ingekuwa wakiritimba msingoena kwamba kuna makosa ya kina dowans, mafisadi wangefichwa.. mfano mzuri ni chama kinachotawala burundi na jinsi kinacvyowazima wapinzani... ukomavu wa domkrasia wa CCM ndiyo unawapa uhuru wa kupiga domo humu Jf, mzee slaa kusimama juu ya mimbari na list yake ya mafisadi bila kuletewa chokochoko kama anavyofanyiwa yule mpinzani Uganda, ukomavu wa kisiasa wa serikali unawaachia chadema kuandamana mpaka miguu iingie ndani.. inshort nina akili timamu 100% kuliko unavyofikiria wewe na bado nashabikia ukomavu wa kisiasa wa CCM
umemaliza kutukana, lete hoja, but ujue CCm ni jiwe kuu la pembeni lililokataliwa na waashi.................................................