Bado Kidogo 2015
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 207
- 78
Akiongea katika mkutano uliofanyika leo Jangwani mwenyekiti wa CDM mkoa wa Tabora alitoa mpya kwa kusema kamwe CDM haitaacha kuisema CCM na serikali yake kwani inafanana na muumini ambaye atasali kisha asimlani shetani!!!!
Huku akishangiliwa na umati wa watu uliohudhuria mkutano huo, mwenyekiti huyo alikuwa akitoa ufafanuzi wa baadhi wa makamanda wa polisi ambao huwataka wanapohutubia mikutano basi wasiiseme vibaya serikali.
Huyo mwenyekiti wa CDM amenifurahisha sana kwa kusema ukweli bila kuremba makamanda wa polisi ambao wanafikiri watu wanapozunguka mikoani wanacheza makida makida.
Ni lazima watu wakosoe ili mapungufu hayo yajulikane kwa wananchi.
Kwa mantiki ile CCM ni kama pepo baya au shetani!!!!!
Nimeona tujikumbe kwa hili leo lililojiri uwanja wa CDM Square.
Huku akishangiliwa na umati wa watu uliohudhuria mkutano huo, mwenyekiti huyo alikuwa akitoa ufafanuzi wa baadhi wa makamanda wa polisi ambao huwataka wanapohutubia mikutano basi wasiiseme vibaya serikali.
Huyo mwenyekiti wa CDM amenifurahisha sana kwa kusema ukweli bila kuremba makamanda wa polisi ambao wanafikiri watu wanapozunguka mikoani wanacheza makida makida.
Ni lazima watu wakosoe ili mapungufu hayo yajulikane kwa wananchi.
Kwa mantiki ile CCM ni kama pepo baya au shetani!!!!!
Nimeona tujikumbe kwa hili leo lililojiri uwanja wa CDM Square.