Huwezi kumfanya mwanamke/mwanaume kuwa mpya

Kimbweka

JF-Expert Member
Jul 16, 2009
8,597
1,683
Alishakuwa na wachumba wengi na wewe unajaribu bahati yako now?
Aliwahi kupewa talaka?
... Aliwahi kuwa mwingi wa habari,
Anawadanganya rafiki zake na wewe upo akiogopa kuleta mgogoro au kuumia moyoni,
Anasifika kwa kukalia (controlling) watu,
Kumbuka:
“History repeats itself”

Na ukisikia binti au kaka anakwambia maneno yafuatayo be very careful na ikiwezekana tumia akili kuliko moyo.
“Sijawahi kujisikia kwenye mapenzi (love) kama tulivyo mimi na wewe, sijawahi kupata mtu anayenifanya nijisikiae vizuri kama wewe unavyonifanya nijisikie na hakuna mtu amewahi kunielewa kama unavyonielewa wewe”
Mtu anayeongea hivi kama aliwahi kupendwa na kuwa kwenye mahusiano inabidi uwe makini sana na haya maneno it may be misleading.

Hii ina maana anakwambia kwamba
“Sitafanya kama nilivyofanya huko nyuma, nilikuwa ovyo na sikuwa nampenda kikwelikweli huyo wa kwanza.
Wazo kwamba upendo wa kweli (true love) huweza kumbadilisha mtu kutokana na patterns zake za zamani kimuujiza si kweli mara zote hasa kama feelings zimetangulia zaidi ya akili.
Baada ya mwaka mmoja historia hujirudia na unaweza kuwa sawa na wale amekwambia hawajaweza kufanya ajisikie anapendwa.
Ndipo yatakupata ya kukupata!
Ni hatari sana kwako kukubali kwamba amekupenda kiasi cha kuweza kubadilika asili yake kama kweli huko nyuma alipendwa, si muda mrefu unaweza kukutana na full script ya maisha yake ya nyuma ndipo utakutana uso kwa uso na mbwa mwitu ambaye ulidhani ni kondoo.

Ili kumfahamu mtu vizuri ni muhimu kutafuta habari kamili kuhusu yeye kwa kuruhusu MUDA ufanye kazi yake.
Mwangalie tabia yake na maisha yake kwa mtazamo wa mtu mwingine na si wewe.
Kama kuna complaints kutokana na mahusiano yake ya zamani basi fanyia kazi.
Sikiliza ndugu zake na familia yake na marafiki zake kuhusiana na kila hadithi unaambiwa kuhusu yeye, nzuri na mbaya.
“An apple doesn’t fall far from the tree”

AMEN....!!!
 
Alishakuwa na wachumba wengi na wewe unajaribu bahati yako now?
Aliwahi kupewa talaka?
... Aliwahi kuwa mwingi wa habari,
Anawadanganya rafiki zake na wewe upo akiogopa kuleta mgogoro au kuumia moyoni,
Anasifika kwa kukalia (controlling) watu,
Kumbuka:
"History repeats itself"

Na ukisikia binti au kaka anakwambia maneno yafuatayo be very careful na ikiwezekana tumia akili kuliko moyo.
"Sijawahi kujisikia kwenye mapenzi (love) kama tulivyo mimi na wewe, sijawahi kupata mtu anayenifanya nijisikiae vizuri kama wewe unavyonifanya nijisikie na hakuna mtu amewahi kunielewa kama unavyonielewa wewe"
Mtu anayeongea hivi kama aliwahi kupendwa na kuwa kwenye mahusiano inabidi uwe makini sana na haya maneno it may be misleading.

Hii ina maana anakwambia kwamba
"Sitafanya kama nilivyofanya huko nyuma, nilikuwa ovyo na sikuwa nampenda kikwelikweli huyo wa kwanza.
Wazo kwamba upendo wa kweli (true love) huweza kumbadilisha mtu kutokana na patterns zake za zamani kimuujiza si kweli mara zote hasa kama feelings zimetangulia zaidi ya akili.
Baada ya mwaka mmoja historia hujirudia na unaweza kuwa sawa na wale amekwambia hawajaweza kufanya ajisikie anapendwa.
Ndipo yatakupata ya kukupata!
Ni hatari sana kwako kukubali kwamba amekupenda kiasi cha kuweza kubadilika asili yake kama kweli huko nyuma alipendwa, si muda mrefu unaweza kukutana na full script ya maisha yake ya nyuma ndipo utakutana uso kwa uso na mbwa mwitu ambaye ulidhani ni kondoo.

Ili kumfahamu mtu vizuri ni muhimu kutafuta habari kamili kuhusu yeye kwa kuruhusu MUDA ufanye kazi yake.
Mwangalie tabia yake na maisha yake kwa mtazamo wa mtu mwingine na si wewe.
Kama kuna complaints kutokana na mahusiano yake ya zamani basi fanyia kazi.
Sikiliza ndugu zake na familia yake na marafiki zake kuhusiana na kila hadithi unaambiwa kuhusu yeye, nzuri na mbaya.
"An apple doesn't fall far from the tree"

AMEN....!!!
unaweza kumjua mwanaume/mwanamke kwa kumpa nafasi ya kukufahamisha yeye ni nani!mara nyingi napenda kuhukumu mtu kwa yale ninayoyashuhudia mimi!unaanzaje kuanza kutafiti habari za mwanamke/mwanaume wako kwa watu wengine!after all natengeneza penzi na mahusiano yangu vile ninavyoamini ni sahihi,kufail kwa mtu aliyekuwa na mtu wako hakumaanishi huyo mtu wako si sahihi!wengine huwa wanafall kwa watu wasio sahihi,so hawawezi kukuambia usahihi wa mpenzi wako!after all wat are they gaining from telling yu the truth?its ahell to them how yu treat tha person!ALISHINDWA KWA NAFASI YAKE NITAWEZA KWA NAFASI YANGU!
 
unaweza kumjua mwanaume/mwanamke kwa kumpa nafasi ya kukufahamisha yeye ni nani!mara nyingi napenda kuhukumu mtu kwa yale ninayoyashuhudia mimi!unaanzaje kuanza kutafiti habari za mwanamke/mwanaume wako kwa watu wengine!after all natengeneza penzi na mahusiano yangu vile ninavyoamini ni sahihi,kufail kwa mtu aliyekuwa na mtu wako hakumaanishi huyo mtu wako si sahihi!wengine huwa wanafall kwa watu wasio sahihi,so hawawezi kukuambia usahihi wa mpenzi wako!after all wat are they gaining from telling yu the truth?its ahell to them how yu treat tha person!ALISHINDWA KWA NAFASI YAKE NITAWEZA KWA NAFASI YANGU!

a good insight
 
unaweza kumjua mwanaume/mwanamke kwa kumpa nafasi ya kukufahamisha yeye ni nani!mara nyingi napenda kuhukumu mtu kwa yale ninayoyashuhudia mimi!unaanzaje kuanza kutafiti habari za mwanamke/mwanaume wako kwa watu wengine!after all natengeneza penzi na mahusiano yangu vile ninavyoamini ni sahihi,kufail kwa mtu aliyekuwa na mtu wako hakumaanishi huyo mtu wako si sahihi!wengine huwa wanafall kwa watu wasio sahihi,so hawawezi kukuambia usahihi wa mpenzi wako!after all wat are they gaining from telling yu the truth?its ahell to them how yu treat tha person!ALISHINDWA KWA NAFASI YAKE NITAWEZA KWA NAFASI YANGU!

Ndoyo maana umetahadharishwa kutumia akili zaidi kuliko moyo.....!!!
Ukitumia moyo zaidi mengine hutaona umuhimu wake ila kuna matokeo yake utayakumbana nayo mbeleni utakapoanza kutumia akili....
 
Ndoyo maana umetahadharishwa kutumia akili zaidi kuliko moyo.....!!!
Ukitumia moyo zaidi mengine hutaona umuhimu wake ila kuna matokeo yake utayakumbana nayo mbeleni utakapoanza kutumia akili....

kama kutumia akili ni kumchunguza mpenzi wangu na kufahamu tabia zake kupitia watu wengine,mi ni taahira i see!sina hata akili moja!
 
kama kutumia akili ni kumchunguza mpenzi wangu na kufahamu tabia zake kupitia watu wengine,mi ni taahira i see!sina hata akili moja!

Si lazima kupitia watu wengine its just an optional, you can use your brain in any other ways that will suit your situation and satisfaction.......!!!!
 
Si lazima kupitia watu wengine its just an optional, you can use your brain in any other ways that will suit your situation and satisfaction.......!!!!

nafkiri namfahamu kiasi cha kutosha kwa matumizi ya binadamu!
 
Then you're luck.......

oh really I AM na namshukuru Mungu kweli kweli!yani namjua mpka wakijamba watu wawili kwa wakati mmoja naweza kukuambi mume wangu kajamba wa kwanza au wa pili!hata kama kikiwa kile cha ufyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuz!!
 
oh really I AM na namshukuru Mungu kweli kweli!yani namjua mpka wakijamba watu wawili kwa wakati mmoja naweza kukuambi mume wangu kajamba wa kwanza au wa pili!hata kama kikiwa kile cha ufyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuz!!


mnhhhhhhhhhhh
 
oh really I AM na namshukuru Mungu kweli kweli!yani namjua mpka wakijamba watu wawili kwa wakati mmoja naweza kukuambi mume wangu kajamba wa kwanza au wa pili!hata kama kikiwa kile cha ufyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuz!!

na inaelekea una uwezo wa kutofautisha vijambo vya wengine na mmeo kwa kunusa harufu.........
 
Kumfanya mtu abadilike kupo, ila sio "On Demand". Inatokea bila yeyote kutaka au hata kutarajia. Mnakutana ghafla yule muhangaikaji anaona hapa sitaki kuvurunda, hapa napajali, hapa nataka kuweka makazi ya kudumu kwa sababu ambazo anapata toka kwa mwenzie. Iwe vionjo vya mapenzi au level ya kujali kunakoamsha hisia zake za kimapenzi (SIO ZA NGONO) but it does happen.

Ndio maana wale players na playettes hua wanafika mahali wanasettle kama vile sio wao waliokuwa wakihangaika kila mtaa hapo kabla.
 
Back
Top Bottom