Pole sana enyi wavivu wa kufikiri juu ya makamanda makini mrema,waitara na singo benson.fuata haya ujue usiyo yajua yakupe mwanga.john mrema ni mwanachama wa chadema tangu akiwa chuo kikuu cha dsm.huko udsm mrema alikuwa waziri mkuu chini ya mwita mwikwabe waitara kama rais na hata baada ya kumaliza chuo mrema hakuna oparesheni yoyote ya chadema ambayo aliacha kushiriki hadi leo.mrema ameongoza maandamano mbali mbali na hata biharamulo mg na leo kuna mbunge huko kama matunda ya mrema.kwa ufupi hata hao watoto ambao wanatajwa kuwa mbadala wa mrema hawana vigezo vyo vyote vya kulinganishwa na mrema hata hivyo kumbukeni ukiona vinaelea vimeundwa na hao wanachonga leo ni baada ya chadema kung'ara kwa kazi ya mrema na wenzake sasa wanatoa udenda.sema ni oparesheni gani ambayo hao walishawahi kuongoza ndani au nje ya chadema kama mrema aliongoza udsm yenye wanafunzi na wasomi waliobobea 26000 unaweza kumlinganisha kweli na heche ambaye kiti alipewa na hao hao akina mrema au ujumbe wa iydu ambao nao alionewa huruma baada ya kushindwa vibaya au jamani watu kama mwampamba,mchange,gwakisa,nyakarungu?acha kumtania mrema hata kama humpendi na wala mbowe wakati wa uteuzi wa mrema ila ni kikao kiliamua na maamuzi haya hayawezi kubadilishwa kwa sababu hao wanao lalama ni wachovu mwisho kama kushinda ubunge ni akili na uimara basi hata komba,wasira serukamba,na wote wabunge wana akili sana kuliko nyie humu jf!waitara ni kamanda tangu enzi hata hao akina heche ambao kwa mtazamo mnadhani anauwezo sana.waitara hakuna cheo ambacho hakuwahi shika tangu msingi hadi sekondari.akiwa mlimani alikuwa rais wa DARUSO.alipomaliza alikuwa katibu wa uvccm kinondôni na baadaye vijana mkoa wa tanga na mwaka 2008 aliingia chadema na kwa ushahidi muulize heche na mwera kama hawakufanyiwa kampeni naye!mwaka 2010 alishinda kura za maoni na heche na mwera wakakubaliana kwenda cuf mwera akatangulia heche na ndg yake wakaenda hai kwa mbowe akamuahidi kiti ambacho kweli amepewa na heche wakaungana na gachuma,mama kabaka,nyambari kupinga chadema.jadili