tz1
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 2,121
- 534
Mara kwa mara tunashangaa polisi ana kusimamisha na anakuambia bima ya gari
imeisha au road tax.
Unajiuliza ameota vipi?
Kumbe wanawatumia machinga wa barabarani kuwapa habari kwa kutumia simu
kisha yeye polisi anakupiga mkono mbele,Yani wafundishwa hata kujua bima feki.
Hii ni balaa.
imeisha au road tax.
Unajiuliza ameota vipi?
Kumbe wanawatumia machinga wa barabarani kuwapa habari kwa kutumia simu
kisha yeye polisi anakupiga mkono mbele,Yani wafundishwa hata kujua bima feki.
Hii ni balaa.