KAPERO
Member
- Jul 18, 2010
- 46
- 8
Habari wana jf,,,.
Je mwajua!! Utafiti nilio ufanya kwa WANANDOA zaidi ya hamsini sikupata hata mmoja ambaye anaishi na yule aliye mtaka/mpenda. wote walijikuta wakikosa nafasi na kulazimika kuwa na yule aliye mkubali. na wengine walijikuta wanalazimika kuoana baada ya mimba isiyo tarajiwa! na wengine kwa ajili ya mazingira ya kazi, ushawishi na wengine kwa tamaa za kupata mali au kusifiwa na wengine kuwa wanajua kuchagua!!!!
Swali, Je mnafikiri ndoa zitaweza kuwa na furaha uaminifu na amani kwa hali hiyo. na
Je! wewe ni muathirika wa hali hiyo!! utafiti unaendelea,,,,,---!
Je mwajua!! Utafiti nilio ufanya kwa WANANDOA zaidi ya hamsini sikupata hata mmoja ambaye anaishi na yule aliye mtaka/mpenda. wote walijikuta wakikosa nafasi na kulazimika kuwa na yule aliye mkubali. na wengine walijikuta wanalazimika kuoana baada ya mimba isiyo tarajiwa! na wengine kwa ajili ya mazingira ya kazi, ushawishi na wengine kwa tamaa za kupata mali au kusifiwa na wengine kuwa wanajua kuchagua!!!!
Swali, Je mnafikiri ndoa zitaweza kuwa na furaha uaminifu na amani kwa hali hiyo. na
Je! wewe ni muathirika wa hali hiyo!! utafiti unaendelea,,,,,---!