vukani
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 245
- 165
Wanaume wote ambao huenda baa kunywa na kulewa wana sifa moja kubwa ambayo kila mmoja kati yao anadhani ni yeye peke yake aliye nayo.
Wote kati yao huwa wanawaona wahudumu wa baa kama vinyago kwa ubaya wakati wanapoingia, lakini muda mfupi kabla ya kutoka huwa wanawaona wahudumu hao kama malaika kwa uzuri.
Wote kati yao huwa wanawaona wahudumu wa baa kama vinyago kwa ubaya wakati wanapoingia, lakini muda mfupi kabla ya kutoka huwa wanawaona wahudumu hao kama malaika kwa uzuri.