Huwa UNAMBUSU??

hahaha! Nyani jamani amenioverdose mabusu.... Mme wangu akija hapa sijui kama patatosha.
Hivi Nyani hajui kwa ugumu huu wa maisha watu tunashindia Ugali kwa Kachumbari hivyo kunuka midomo ni kawaida!!?
 
Hivi Nyani hajui kwa ugumu huu wa maisha watu tunashindia Ugali kwa Kachumbari hivyo kunuka midomo ni kawaida!!?

kachumbari inachachia mdomoni? NyAnI KaNigaNDA HuoNi hAdi MKoNo uNaTeTemEkA kuAnDika...!
 
Mara moja moja nikikumbuka tukiwa tunaagana, natoka nyumbani au ninavyoingia nyumbani.
 
Back
Top Bottom