Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Unajua kuchumu lakini unanuka mdomo....haya chukua chumu yako....siitaki mimi.
heee, mbona umeng'ang'ania ulimi wangu jamani.!,... Hamisi acha hapo!
Unajua kuchumu lakini unanuka mdomo....haya chukua chumu yako....siitaki mimi.
Yamekuwa hayo??
heee, mbona umeng'ang'ania ulimi wangu jamani.!,... Hamisi acha hapo!
Hmmm....umenogewa wewe
niache bwana... Mwenzio staki!!
Hivi Nyani hajui kwa ugumu huu wa maisha watu tunashindia Ugali kwa Kachumbari hivyo kunuka midomo ni kawaida!!?
Mwajuma...unasema hutaki wakati huniachii
jamani wewe....!!
Hiyo ni "French Kiss" sijui nikusaidieje maana huwa inawalegeza wanawake!!
Hebu tulia Mwajuma
ooh my god! Ndio unafanyaje sasa?
Wewe ni mkare!!
Shhhhhh kimya
siwezi hamisi.... Siwezi kukaa kimya.
Basi tulia tuli