Huwa sielewi maana ya haya maneno

wa stendi

JF-Expert Member
Jul 7, 2016
24,688
26,796
Wakuu poleni na kazi!!
Ni hivi hua sielewi maana ya haya maneno!!
Lalamiko!!
Dukuduku!!
Hoja!!
Na maoni!!
Kwa sababu kuna sehemu labda unaweza ukawa unachangia mada!!wale wasimamizi wakakupinga wakasema hayo sio maoni ni dukuduku!!au lalamiko!!sasa hapo nashindwa kuelewa ni tofauti ya haya maneno!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom