Jamani hawa airtel ni wezi wane amua
Kutuibia kwa ujanja yani nimeweka bandle ya MB 400 nime download nyimbo mbili zenye mb 7 Kila moja nangalia salio zimebaki MB 80 kwakweli hawatutendei haki.
Kwa hiyo usaidiweje kwenye thread yko peleka malalamiko yako eartel au porisi
Kwa hiyo usaidiweje kwenye thread yko peleka malalamiko yako eartel au porisi
Jamani hawa airtel ni wezi wane amua
Kutuibia kwa ujanja yani nimeweka bandle ya MB 400 nime download nyimbo mbili zenye mb 7 Kila moja nangalia salio zimebaki MB 80 kwakweli hawatutendei haki.
Jamani hawa airtel ni wezi wane amua
Kutuibia kwa ujanja yani nimeweka bandle ya MB 400 nime download nyimbo mbili zenye mb 7 Kila moja nangalia salio zimebaki MB 80 kwakweli hawatutendei haki.
Kwa nini unalalamika kuendelea kutumia mtandao unaokuibia na wewe ni Mwizi pia hamia mitandao mingine
Kwa hiyo usaidiweje kwenye thread yko peleka malalamiko yako eartel au porisi[/QUOTE
hapo kwenye red mimi nina shaka nawe Yasser. Hiyo eartel ni kampuni mpya au?hata kama ni spelling errors zako zimezidi ndugu,porisi au POLISI? usikurupuke ilimradi umechangia thread.
Kwa hiyo usaidiweje kwenye thread yko peleka malalamiko yako eartel au porisi
HAPO KWENYE RED, unamaanisha nini mkuu?.........POLISI au......?
HAPO KWENYE RED, unamaanisha nini mkuu?.........POLISI au......?
Mkuu itakua kuna automatic updates either za windows au anti virus zinafanya kazi, hvyo kula bundle nyingi. Kama una simu jaribu kudownload nyimbo halafu uone kama watakata.