Huu wa Kukiri mapungufu ni uungwana kaka Zitto! Hongera sana!

Mkuu kwa maneno mengine ni kwamba kutokana na huo "udhaifu" wa Rais wetu kama Taifa hatuko salama! Akitokea adui akaishambulia nchi yetu kwa sasa, Rais wetu hana "ubavu" wa kuwavuta wanachi wote kuunganisha nguvu dhidi ya huyo adui! Na hii ni hatari sana kwetu sote bila kujali "itikadi"!!!

Umeusemea moyo wangu kamanda.
 
Unapompongeza Zitto na wewe Nape fikiria siku moja kukiri kosa kwa sababu CCM huwa hamkubali kukiri makosa kama bajeti mbovu isiyoweza kuinua uchumi wa nchi zaidi ya watu wachache serikalini,

Hivyo jifunza kitu kutoka kwa Zitto.
 
Mbona nyie magamba hamtaki kukiri kuwa Kikwete ni dhaifu?!!

Mkuu umesahihisha vema. Nape anasema chadema imekiri udhaifu, udhaifu ni weakness
Characteristics za weakness haziangukii hata kidogo kwenye hicho alichorekebisha Zitto
Hayo ni mapungufu, mapungufu na udhaifu ni mbingu na ardhi.
Nape katumia saburi tena saburi la kushoto kuteremsha thread kwa title ya kipropaganda
 
Mkuu umesahihisha vema. Nape anasema chadema imekiri udhaifu, udhaifu ni weakness
Characteristics za weakness haziangukii hata kidogo kwenye hicho alichorekebisha Zitto
Hayo ni mapungufu, mapungufu na udhaifu ni mbingu na ardhi.
Nape katumia saburi tena saburi la kushoto kuteremsha thread kwa title ya kipropaganda
Tatizo la Nape ni kwamba yupo ndani ya box ndio maana fikra zake zinategemea ukubwa wa box lenyewe.
 
Kukiri mapungufu na kujisahihisha ndiyo ubinadamu uliotukuka. Je CCM mbona mnaendelea kuwa wakali na wakaidi kwenye mapungufu yanayowahusu?
 
Hapa Nape umekuja kiutu- uzima na Ki - Tanzania zaidi, na ndivyo uungwana unatakiwa kuwa, hapa Zitto na CDM kwa ujumla wananstahili pongezi na kukubali hayo mapungufu, tukienda hivi tutaijenga Tanzania.
 
Maelezo ya Bajeti Kivuli

Katika mjadala unaoendelea Bungeni kuhusu Bajeti, baadhi ya wabunge wameeleza kwamba Bajeti Kivuli haikuonyesha vyanzo vya mapato na hivyo kuita ni vyanzo sifuri. Ukweli ni kwamba tumeweka vyanzo vya mapato ya ndani kwa ujumla bila kuainisha mapato ya kikodi ni ngapi, mapato yasiyo ya kikodi ni ngapi na mapato ya Halmashauri ni kiasi gani. Hivyo tunakiri kosa hili na tumechukua hatua ya kuainisha mapato hayo Kama inavyoonekana kwenye jedwali hili hapa chini.

Mapato haya yamo ndani ya Hotuba ya Bajeti Mbadala lakini kwa makosa ya *kihariri hayakuonyeshwa kwenye jedwali na hivyo kuleta usumbufu kwa Wabunge na Watanzania wengine waliopata fursa ya kusoma Hotuba yetu. Tunaomba radhi kwa usumbufu. Nawashukuru walioona tatizo hili na hii inaonyesha kuwa wabunge wanasoma kwa makini Bajeti ya Upinzani.

Ninawatakia mjadala mwema wa Bajeti.
JUMLA YA MAPATO YA NDANI
Tshs. Millioni 11,889,078/-

MAPATO YA KODI
Tshs. Millioni 10,232,539/-

MAPATO YASIYO YA KODI
Tshs. Milion 1,163,533/-

MAPATO YA HALMASHAURI
Tshs. Milioni. *493,006/-


Kabwe Zuberi Zitto,Mb
Waziri Kivuli wa Fedha

Eti naskia JK ni dhaifu tena dhaifu sana.
 
Kwenye mazingira haya usidhani Nape anaweza kurudi. Na yeye ni dhaifu kweli katika kujibu hoja za watanzania kuhusu chama chake.
Yeye hupenda kuhutubia propaganda lakini usimsogeze karibu na hoja!
 
Maelezo ya Bajeti Kivuli

Katika mjadala unaoendelea Bungeni kuhusu Bajeti, baadhi ya wabunge wameeleza kwamba Bajeti Kivuli haikuonyesha vyanzo vya mapato na hivyo kuita ni vyanzo sifuri. Ukweli ni kwamba tumeweka vyanzo vya mapato ya ndani kwa ujumla bila kuainisha mapato ya kikodi ni ngapi, mapato yasiyo ya kikodi ni ngapi na mapato ya Halmashauri ni kiasi gani. Hivyo tunakiri kosa hili na tumechukua hatua ya kuainisha mapato hayo Kama inavyoonekana kwenye jedwali hili hapa chini.

Mapato haya yamo ndani ya Hotuba ya Bajeti Mbadala lakini kwa makosa ya *kihariri hayakuonyeshwa kwenye jedwali na hivyo kuleta usumbufu kwa Wabunge na Watanzania wengine waliopata fursa ya kusoma Hotuba yetu. Tunaomba radhi kwa usumbufu. Nawashukuru walioona tatizo hili na hii inaonyesha kuwa wabunge wanasoma kwa makini Bajeti ya Upinzani.

Ninawatakia mjadala mwema wa Bajeti.
JUMLA YA MAPATO YA NDANI
Tshs. Millioni 11,889,078/-

MAPATO YA KODI
Tshs. Millioni 10,232,539/-

MAPATO YASIYO YA KODI
Tshs. Milion 1,163,533/-

MAPATO YA HALMASHAURI
Tshs. Milioni. *493,006/-


Kabwe Zuberi Zitto,Mb
Waziri Kivuli wa Fedha

Sasa mbona kama umemsifia tuuuuu...nimeshindwa kuelewa umekuwa confused ama vipi bwana katibu mwenezi..pengine M4C imeshakulevya ukasahau wajibu wako...
 
Maelezo ya Bajeti Kivuli

Katika mjadala unaoendelea Bungeni kuhusu Bajeti, baadhi ya wabunge wameeleza kwamba Bajeti Kivuli haikuonyesha vyanzo vya mapato na hivyo kuita ni vyanzo sifuri. Ukweli ni kwamba tumeweka vyanzo vya mapato ya ndani kwa ujumla bila kuainisha mapato ya kikodi ni ngapi, mapato yasiyo ya kikodi ni ngapi na mapato ya Halmashauri ni kiasi gani. Hivyo tunakiri kosa hili na tumechukua hatua ya kuainisha mapato hayo Kama inavyoonekana kwenye jedwali hili hapa chini.

Mapato haya yamo ndani ya Hotuba ya Bajeti Mbadala lakini kwa makosa ya *kihariri hayakuonyeshwa kwenye jedwali na hivyo kuleta usumbufu kwa Wabunge na Watanzania wengine waliopata fursa ya kusoma Hotuba yetu. Tunaomba radhi kwa usumbufu. Nawashukuru walioona tatizo hili na hii inaonyesha kuwa wabunge wanasoma kwa makini Bajeti ya Upinzani.

Ninawatakia mjadala mwema wa Bajeti.
JUMLA YA MAPATO YA NDANI
Tshs. Millioni 11,889,078/-

MAPATO YA KODI
Tshs. Millioni 10,232,539/-

MAPATO YASIYO YA KODI
Tshs. Milion 1,163,533/-

MAPATO YA HALMASHAURI
Tshs. Milioni. *493,006/-


Kabwe Zuberi Zitto,Mb
Waziri Kivuli wa Fedha


Mbona nyie hamkiri kuwa bajeti yenu ni mbovu na raisi wenu ni dhaifu?????
 
Tunashukuru kwa taarifa, vipi mbona na nyie hamkili kuwa JK ni dhaifu?

Kama Rais ni dhaifu, basi watanzania wote ni dhaifu. Maana wasingekuwa dhaifu, wasingechagua Rais dhaifu.
The unseen is illustrated by the seen.
 
Nyie cdm mnamuona JK dhaifu na sie wanaCCM tunawaona Slaa ni wahuni. Hii ndio siasa ilivyo.
Lakini mwisho wa maneno sie ndio tumeshika nchi hii na tutabaki kutawala hii nchi miaka mia mbele. Ukweli unauma lakini ndio ukweli wenyewe.
 
Nape Nnauye Jr.

Tunashukuru kuja kwako Jamvini na kuweka maelezo yako hongera sana, lakini kuna kitu kinaonyesha mapungufu yako humu JF kama member kwa cheo chako ndani ya CCM unashindwa kijibu hoja humu jamvini unaandika thread halafu unaondoka bila kujenga hoja, hizo ni dalili za uoga jifunze kutoka kwa wenzako Dr Hamisi Kingwangalla au Mwigulu Nchemba, usiogope challege njoo JF fungua thread karibisha maswali wewe ni kiongozi uonyesha uongozi wako.
 
Unajipendekeza wakati alikuwa anataka aone mtasemaje na bajeti yenu mbovu
maelezo ya bajeti kivuli

katika mjadala unaoendelea bungeni kuhusu bajeti, baadhi ya wabunge wameeleza kwamba bajeti kivuli haikuonyesha vyanzo vya mapato na hivyo kuita ni vyanzo sifuri. Ukweli ni kwamba tumeweka vyanzo vya mapato ya ndani kwa ujumla bila kuainisha mapato ya kikodi ni ngapi, mapato yasiyo ya kikodi ni ngapi na mapato ya halmashauri ni kiasi gani. Hivyo tunakiri kosa hili na tumechukua hatua ya kuainisha mapato hayo kama inavyoonekana kwenye jedwali hili hapa chini.

Mapato haya yamo ndani ya hotuba ya bajeti mbadala lakini kwa makosa ya *kihariri hayakuonyeshwa kwenye jedwali na hivyo kuleta usumbufu kwa wabunge na watanzania wengine waliopata fursa ya kusoma hotuba yetu. Tunaomba radhi kwa usumbufu. Nawashukuru walioona tatizo hili na hii inaonyesha kuwa wabunge wanasoma kwa makini bajeti ya upinzani.

Ninawatakia mjadala mwema wa bajeti.
Jumla ya mapato ya ndani
tshs. Millioni 11,889,078/-

mapato ya kodi
tshs. Millioni 10,232,539/-

mapato yasiyo ya kodi
tshs. Milion 1,163,533/-

mapato ya halmashauri
tshs. Milioni. *493,006/-


kabwe zuberi zitto,mb
waziri kivuli wa fedha
 
Swala la Kikwete sio la Magamba, Yule ni Rais wetu wote, Hivyo Kama tunakubaliana Rais ni Dhaifu ni dhaifu tu haihitaji opinion za watu, lakini maana yake ni kwamba sisi wote ni Dhaifu pia.

Kuna post nimeweka hapa nahoji juu ya usalama wetu katika msingi wa kuwa na rais anayeheshimika na kuaminika katika Taifa kiasi cha kwamba, akisema tunaingia vitani, basi wote tunafurahia kauli hiyo na kuingia vitani kumtandika hadui, watu wengi hawajapata mantiki ya post ile, lakini maana yake inapanuka mpaka kwenye mawanda kama haya.

Kama Rais ni Dhaifu maana yake Taifa zima ni Dhaifu, na Jinsi CHADEMA wanavyoendelea kumdhoofisha ndio tunakuwa dhaifu zaidi.
YANGU NI HAYO

mada yako ililetwa muda mbaya!
 
Back
Top Bottom