Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Mkuu kwa maneno mengine ni kwamba kutokana na huo "udhaifu" wa Rais wetu kama Taifa hatuko salama! Akitokea adui akaishambulia nchi yetu kwa sasa, Rais wetu hana "ubavu" wa kuwavuta wanachi wote kuunganisha nguvu dhidi ya huyo adui! Na hii ni hatari sana kwetu sote bila kujali "itikadi"!!!
Umeusemea moyo wangu kamanda.