Huu urembo wa kucha kwa wanawake.....Mh!!! mi hoi kabisa.............

The only concern that I have with these things is health. Tunachangia vitu vyenye ncha jamani tutapata ukimwi. Na unakuta mtu ana wateja wengi, ni bandika, bandua. I am just thinking loud.
 
Ha ha ha ha!
Wivu gani huo jamani?
Umeona kucha tu?
Mbona hata saluni tunaenda kutengenezwa nywele na wakaka wa kizaire wanatutekenya tekenya vichwani pia.
Kwa mafundi nguo wakitupima wanatushika shika sehemu zote wanazopima.
Lol!
 
wewe uliyataka mwenyewe kwani hukujua anayeenda kumtengeneza hizo kucha ni mwanaume?sasa wivu wa nn....
afu wale wakaka wanavyojua kukaribisha sasa... we mwenyewe utajikuta ushakaa kutengenezwa kucha...........
 
Ha ha ha ha!
Wivu gani huo jamani?
Umeona kucha tu?
Mbona hata saluni tunaenda kutengenezwa nywele na wakaka wa kizaire wanatutekenya tekenya vichwani pia.
Kwa mafundi nguo wakitupima wanatushika shika sehemu zote wanazopima.
Lol!

....Ala kumbe???!!!......
 
Last week end nilikuwa maeneo ya mwenge pale nikiwa na mwandani wangu. Kimsingi aliniomba nimsindikize akatengeneze kucha zake. Tukatia timu, mwenyewe anadai kuna kijana ambaye humtengeneza hizo kucha mara kwa mara. Tukafika mwenge na yule jamaa tukamkuta, kwa kuwa alikuwa na mteja mwingine tukalazimika kusubiri. Then ikafata zamu ya honey wangu. Mamaaa akavua viatu akaweka miguu kwenye mapaja ya kale kajamaa, kakaanza kumnyoosha vidole vya miguu kama masaji fulani hivi. Nikimuangalia demu wangu sikuamini, amejiachiaaaa katuliaa jamaa anabonyeza vidole then ndio akaanza kumsafisha hizo kucha na baadae kumpaka rangi kwa mtindo aliotaka....Alipomaliza tukiwa kwenye gari tunarudi nyumbani nikamwambia next time akitaka kusafisha kucha na kupaka rangi hilo zoezi nitalifanya mimi tukiwa chumbani kwetu kwani sikupenda jinsi jamaa alivyokuwa anamchezea miguu ni wazi alikuwa anamtekenya kimtindo.....Huwezi kuamini alinigomea kwa nguvu zote...Hivi wana nini wale jamaa pale mwenge???

kawaida kabisa
tuliza mtma babu!!!
 
Last week end nilikuwa maeneo ya mwenge pale nikiwa na mwandani wangu. Kimsingi aliniomba nimsindikize akatengeneze kucha zake. Tukatia timu, mwenyewe anadai kuna kijana ambaye humtengeneza hizo kucha mara kwa mara. Tukafika mwenge na yule jamaa tukamkuta, kwa kuwa alikuwa na mteja mwingine tukalazimika kusubiri. Then ikafata zamu ya honey wangu. Mamaaa akavua viatu akaweka miguu kwenye mapaja ya kale kajamaa, kakaanza kumnyoosha vidole vya miguu kama masaji fulani hivi. Nikimuangalia demu wangu sikuamini, amejiachiaaaa katuliaa jamaa anabonyeza vidole then ndio akaanza kumsafisha hizo kucha na baadae kumpaka rangi kwa mtindo aliotaka....Alipomaliza tukiwa kwenye gari tunarudi nyumbani nikamwambia next time akitaka kusafisha kucha na kupaka rangi hilo zoezi nitalifanya mimi tukiwa chumbani kwetu kwani sikupenda jinsi jamaa alivyokuwa anamchezea miguu ni wazi alikuwa anamtekenya kimtindo.....Huwezi kuamini alinigomea kwa nguvu zote...Hivi wana nini wale jamaa pale mwenge???

Kumbuka kuwa weye ni Sajenti na sii mtaalam wa kuchua miguu au kupaka kucha rangi.Utakuwa unalidhalilisha jeshi liwe la wananchi,polisi au hata mgambo wa jiji, tuliza ball acha wataalam wafanye kazi yao.Sana sana na wewe ukitaka utachuliwa miguu Msalimie mwandani wako
 
..Namuamini sana sikupenda lake kajamaa kushika shika nyayo za mke wangu..we ukiguswa huko unajisikiaje??
Wewe unashtuka nyayo? Siku moja nilishuhudia pale Mwenge mama mmoja anafanyiwa massage ya miguu mshikaji anapanda mpaka mapajani, mama wa watu katulia tuliii! Hapo kijana wangu si ungekuja ngumi?
 
Wewe unashtuka nyayo? Siku moja nilishuhudia pale Mwenge mama mmoja anafanyiwa massage ya miguu mshikaji anapanda mpaka mapajani, mama wa watu katulia tuliii! Hapo kijana wangu si ungekuja ngumi?
....Hapo ndipo wanaponimaliza utadhani wamechomwa sindano ya ganzi...Umeshawahi kumgusa paka kichwani katikati ya kichwa utaona mpaka anasinzia. Hakuna kurusha ngumi mkuu atakuwa anapaka hina nyumbani huko ndio mwisho tena!!:clap2:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom