PRISCUS JR
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 448
- 236
Serikali haina nia nzuri na wananchi wanaokosa huduma bora ya afya. kufuatia uongo na propadanda zinazofanywa na viongozi wa hii serikali wakidai mgomo umekwisha huku wakivinyamazisha vyombo vya habari.
Nina mdogo wangu anasoma muhimbili kanieleza hakuna huduma yoyote na ile habari iliyoonyeshwa mtu akiwa thieter ni ya kutengeneza na huyo aliyeonekana kama mgonjwa ni mfagiaji hapo muhimbili. tunaelekea wapi jamani?
Nina mdogo wangu anasoma muhimbili kanieleza hakuna huduma yoyote na ile habari iliyoonyeshwa mtu akiwa thieter ni ya kutengeneza na huyo aliyeonekana kama mgonjwa ni mfagiaji hapo muhimbili. tunaelekea wapi jamani?