BPM
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,760
- 573
jamani nimekutana na hii picha ambayo sikuamini macho yangu kwenye facebook ya human rights, ambayo kuna video ya kuoyesha mwanamke ambaye kakatwa katwa na mapanga kwa madai ya kumyima mume unyumba ,, imetokea sumbawanga , huyo dada anaitwa Grace senga mkazi wa sumbawanga .. jamani hivi kweli watu tumefikia hatua hii .... nimejaribu kudownload clip nimeshindwa ila kuna link hapo waweza kujionea huo ukatili
Legal and Human Rights Centre | Facebook
Legal and Human Rights Centre | Facebook