Huu uhusiano siuelewi

NATA

JF-Expert Member
May 10, 2007
4,492
1,311
Naona wakati wa mvua magari yanakuwa na msongamano mkubwa sana
Je Kunauhusiano gani wa mvua na foleni?
 
Mvua ikinyesha, watu hugwaya kuingia barabarani, mara tu ikiacha, wote huingiza magari barabarani hence foleni. Pia wakati wa mvua madereva huendesha gari zao polepole... Nadhani sababu ya utelezi.
 
halalafu kuna wakati tunapita rough roads kukwepa foleni, lakini ikinyesha mvua hamna kiumbe anenda hizo rough roads, so wote wanajaa barabara kubwa
 
Wakati wa mvua, gari nyingi huingia barabarani, tax n.k Watatu hulazimika kutumia gari hata sehemu waendayo ni karibu, pia traffic huingia mitini kwenye maungano mf. Fire, Magomeni, Tazara ubungo n.k
 
Do asanteni sana kwa majibu fasaha kabisa. Nimeelimika!
 
Lakini, mvua zimekuwa zikinyesha lately! kwa nini iwe ndani ya siku mbili hizi? nilitegemea hii 'likizo ya Pasaka' ingepunguza foleni lakini ndo imeongezeka sana toka jana.
 
Naona wakati wa mvua magari yanakuwa na msongamano mkubwa sana
Je Kunauhusiano gani wa mvua na foleni?
Pia wakati wa mvua traffic police wanaenda kuegama na pale eneo wanapo patikana kunakua na msongamano wa gari (I think)
 
Mvua ikinyesha, watu hugwaya kuingia barabarani, mara tu ikiacha, wote huingiza magari barabarani hence foleni. Pia wakati wa mvua madereva huendesha gari zao polepole... Nadhani sababu ya utelezi.

Mengine pia hubuma kutokana na nishati inayotumika,kutoona mashimo/madimbwi,kutoona vizuri kwa dereva na ubovu wa miundombinu kwa ujumla (barabara,taa etc).
 
Huyu Juma ni mzee ana miaka karibu sabini lakini anataka aonekane kijana kwa kupaka nywele zake kitu inaitwa BLACK mwisho wake anakuwa KITUKO; USO ukekunjana lakini nywele nyeusi!!

Hapo ndipo ninapo ishiwa nadhani zile za grey zingempendeza sana na kumuongezea heshima zile zinazotolewa kwa ajili ya umri.
 
Back
Top Bottom