Azipa
JF-Expert Member
- Mar 19, 2012
- 1,069
- 322
Ulimboka alisema na kutaja ndio lakini kumbuka wakati ule alikuwa na maumivu na hata ongea yake ilitia shaka kama kweli mentally yupo okey au la!
Mkuu, ushawahi sikia Dying Declaration? Kama Dr. Ulimboka angekufa, je polisi walishachukua dying declaration? Yaani piga ua polisi/usalama wa taifa/serikali walihusika kwenye hili. Wamekaa kimya tu!
Ki kawaida mtu akifikishwa mahtuti polisi kama alivyokuwa Dr. Ulimboka askari wa ngazi fulani kama sikosei sergeant na kwenda juu anatakiwa achukue statement ya huyo mahtuti in case akifa huo ndo ushahidi wa aliyemsababishia kifo