Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
Sheikh Yahya atabiri: Uchaguzi 2010 kutawaliwa makofi matupu
"Uchaguzi wa mwaka kesho ni wa makofi, hivyo viongozi wajiandae kwa hilo," alisema."
MTABIRI maarufu katika ukanda wa Afrika Mashariki, Sheikh Yahya Hussein ametabiri kuwa uchaguzi ujao utatawaliwa na makofi kwa viongozi kwa kuwa kofi alilopigwa rais mstaafu wa awamu ya tatu Ali Hassan Mwinyi ni baya na litajirudia kwa viongozi wengine
Chanzo; Mwananchi Read News
...dhihaka hizi!