Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
Umejuwaje?Mmhhh dodo limetulia sema ndo hvyo tena yupo kwenye danger zone
Hata tubaki wawili duniani yani niende kenya kongo marekani yani yuko yeye tu duniani mi spigi..
Hapo tu ndo peupe kwingine mweusi akivua
Na kwingine sugu imeota uazania anabeba mchanga
we Buji we! Cpati picha siku umeamua kumchana mtu live inakuwaje! Una maneno mwana wewe!
Anavutia mweee!! Acheni maua yachanue au mnataka yajifungie ndani tukose uhondo kama huu!?
Na hii ndo inaifanya Dunia ipendeze
Ziwa lenyewe ndala nani analitaka?
Umeona eeh..! biashara matangazo.Hii thread ihamishiwe kwenye matangazo madogo madogo