kichenchele
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 539
- 176
Ndugu zangu wana JF, imenisikitisha sana kama haya yaliyoandikwa na gazeti la Mwananchi toleo la tarehe 10/08/2010( ISSN 0856-7573 Na 03704) likinukuu maneno yaliyosemwa na katibu mkuu wa shirikisho la vyama vya wafanyakazi nchini TUCTA, ya kwamba kitendo cha Waziri kufungua mkutano analipwa 1.2m, akienda naibu waziri analipwa Tsh. 600,000/= na kama ni katibu mkuu anachukuwa Tsh. 700, 000/=.Hivi kweli hii ni haki?