Huu ni zaidi ya uvumilivu... BUT Wanaume mwisho wa Habari!

Lol.... Mungu anipe nini zaidi ya hili la kunizawadia K mbili kwa wakati mmoja? Kwa wife nakula K kwa shogaye nakula 0713.

Ila ole wake aniletee kidume kwa room! Huo sasa ndo msala sasa.

Unaamua kujimilikisha kei zote mbili kwa wakati mmoja
 
Dah........ Eh Mola tunusuru! Kwamba anachumishwa na kavulana ka shule?? Hako ni katoto ka mama/baba wa watu jamani!

Soulmate haya na kupanda mnazi ndo kufanyeje tena?
Jamani muwe na asubuhi njema

Yep. Ndiyo aina mpya ya ushoga town.

Watu wazima na pesa zao lakini ni mashoga wanawahonga pesa vijana wadogo ili hawa vijana wawale tigo hao wazee.

Imeenea sana bongo na vijana wengi wa kizazi kipya wananemekea hapo.
 
Halafu gfsonwin kama vile unapenda penda hizi habari za wanaume kupandana maana kuna siku moja ulikuja na hadithi ya jamaa mmoja 'kufededwa' hadi watu ikabidi waulize ndiyo ku nini huko kufededwa!!
 
Halafu gfsonwin kama vile unapenda penda hizi habari za wanaume kupandana maana kuna siku moja ulikuja na hadithi ya jamaa mmoja 'kufededwa' hadi watu ikabidi waulize ndiyo ku nini huko kufededwa!!

Bora useme wewe comrade. Mi nimesema nikasutwa eti nimekuwa kama tumbo la kuharisha.

Mambo ya ushoga yapo lakini hii ya gfsonwin ni hadisi hadisi ya cheichei shangazi kabisaaaaa.... Tena si ngumu "kumesa" bali "haimeseki" kabsaaa!!
 
Yep. Ndiyo aina mpya ya ushoga town.

Watu wazima na pesa zao lakini ni mashoga wanawahonga pesa vijana wadogo ili hawa vijana wawale tigo hao wazee.

Imeenea sana bongo na vijana wengi wa kizazi kipya wananemekea hapo.

Haya ya kweli..?? Hapa wazazi wana kazi kubwa sana ya kulea watoto wao dhidi ya hawa mabazazi.
 
Dah........ Eh Mola tunusuru! Kwamba anachumishwa na kavulana ka shule?? Hako ni katoto ka mama/baba wa watu jamani!

Soulmate haya na kupanda mnazi ndo kufanyeje tena?
Jamani muwe na asubuhi njema

LoL,...soulmate bana, unataka nipewe ban sasa kutafsiri neno kwa neno? Mwenzio am counting my blessings mpaka muda huu sijapewa "yellow card!"

'Kupanda mnazi' - Self pleasuring, aka 'tantric' massaging his "Trojan!" ( that piece of meat, a 'natural inhabitant that appears legitimate, but performs some illicit activity when it is run." )
 
Haya ya kweli..?? Hapa wazazi wana kazi kubwa sana ya kulea watoto wao dhidi ya hawa mabazazi.

Usiwe unajikita sana kule chitchat kama Kongosho. Ushasikia vijana wanajiita top gay na bottom gay?

mleta mada kwa upande wangu hili ni tatizo kubwa tofauti mnavyofikiria vijana wengi sana siku hizi wameingia kwenye haya mambo kwa sababu ya tamaa na wao wanataka wapendeze kuna vijana siku hizi wanajiita top gay vijana hawa huwa wanawachukua watu wazima ambao ni wako maofisini ambao wanahela zao na wake na watoto watu wazima hawa huwalipa pesa hawa vijana ili waweze kufanya nao mapenzi hili halipingiki kabisa lipo huko maofisini ila nia aibu kubwa sana kusema siri za watu hili nimelijua baada ya ndugu yangu kutendwa so sisemi sana.

kuna vijana nao vinajiita bottom gay hawa hufanywa na wanaume ili wapate pesa na vihitaji vidogo vidogo vya chuoni na huko sekondary, hili ni tatizo kubwa sana sana kwenye jamii yetu na kamwe huwezi kujua huyu ni gay or not mpka pale atakapozoea saaaana kuliwa ndio utagundua maana wana mademu kama kawaida so ni vigumu sana kuwatambua.

naomba mtu humu ndani ya jf afanye research tu aende siku za ijumaa pale magomeni kwenye taarabu huwa kuna vijana huwa wamekaa karibu na geti la kuingilia au hata dreva tax ambae yupo maeneo ya pale maana huwa kuna madreva taz special wa pale uulizie kuwadi atakuja unataikiwa umlipe tsh 5000 halafu atakuuliza unataka mwanaume au mwanamke?

kumbuka wewe ni mwanaume ila unakumbuna na swali hilo kuna vijana wengi wanajiuza sana na watu wamaeneo ya taarabu wamezoea haya kabisa ila ikifika sehemu ya wazi watu wanajifanya kuwa sio tatizo ila ukweli ndio huo kuna wanaume siku hizi taste imebadilika kabisa wengi wanapenda 0713 tofauti na zamani hata hawa wazungu wasichana wengi sana wanaliwa 0713 na wapenzi wao na wanaona kitu cha kawaida kabisa.

muhimu familia zenu tuzidi kuwapa mafunzo vijana wetu na kuwaepusha na vijitamaa vidogo vidogo hapo mjini. kumbukeni kuwa siku hizi unyanyuaji vyuma na kujiwekza fit unazidi kuongezeka baadhi ya vijana na kamwe msifikiri ni maendeleo kuna kitu kinajificha, ukishaumwa na nyoka hata jani likipita utagundua sasa hivi mwanaume gay nikikaa nae dk 10 tu ninamjua ni gay or not kwanza kabisa kama wewe mwanaume muogope yule mwanaume mkipishana au mkikutana macho kwa macho anazidi kukutizama kwenye macho bila kuyalengesha pembeni na muogope yule mkipishana atakukonyeza wewe utafikiri ila ujue amemaanisha kuna sign nyingi sana siwezi kumaliza kwenye hili jukwaa ila mambo haya niliyapata kupitia LGBT nilijua mengi sana mpka now days nimeona ukiwa gays haunisumbui akili kabisa isipokuwa usinitongoze na ukinitongoza nikukuambia im not a gay niheshimu usiendelee.

haya ni mabadiliko na kamwe hayaepukiki kamwe tutabisha ila ukweli ndio huo, na je una taarifa kuwa jirani zetu kenya wana gayclub?? ni hapo tu jirani bado bongo hapo bongo kuna gay bar ila watu hawajua kama ni gay bar ukienda tu unajua whats going on halafu ni pa gharama kweli wamepafanya hivyo ili wale gay wenye hela ndio waende pale maana haya machoko ya mitaani yataharibu kijiwe. akili ni nywele kila mtu anazake, suka au nyoa. tuza 0713 yako vizuri na mahali salama uwe mwanaume au mwanamke,
 
LoL,...soulmate bana, unataka nipewe ban sasa kutafsiri neno kwa neno? Mwenzio am counting my blessings mpaka muda huu sijapewa "yellow card!"

'Kupanda mnazi' - Self pleasuring, aka 'tantric' massaging his "Trojan!" ( that piece of meat, a 'natural inhabitant that appears legitimate, but performs some illicit activity when it is run." )

Ah, basi Baba yatosha nadhani nimeelewa sasa. lol
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Huyo Juma ana asili ya ushoga wala sio kwamba alilazimishwa, uchunguzi unaonyesha ikiwa mwanaume hakuridhia tendo la kujamiiana katika fikira zake basi ni vigumu kuusimamisha uume wake na ku penetrate na ndio maana mwanaume habakwi ila anabaka.
Huyo Ziada anajidanganya tu, huyo Juma ameanza huo ushoga siku nyingi na huyo rafiki yake ni hawara yake, nataka kumuuliza kama angalijua Juma ni shoga tangu awali kabla hawajaoana angekubali kuishi naye?
Ushauri kwa Ziada, asiogope maisha, maisha ni popote hata kama hana uwezo wa kujitegemea ni vizuri ajue kuna kifo pia iko siku ataishi peke yake sasa kwa nini kuishi katika karaha ya kiasi hicho?
 
Haya ya kweli..?? Hapa wazazi wana kazi kubwa sana ya kulea watoto wao dhidi ya hawa mabazazi.

Hii ni dhambi ya asili bana, ...pedeshee unamwita "anko" kumbe ukimpa mgongo, anamfundisha mwanao "kumkuna mgongo."
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom