M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,734
- 405
Kuna habari ya kusikitisha nimeisikia katika BBC radio leo asubuhi kuhusu kisa cha jamaa mmoja huko Ngorongoro aliyewaua watoto wawili kwa kuwaponda na marungu kisa eti amegundua kuwa sio watoto wake, ingawaje kisa chenyewe ni kwamba jamaa alienda Mererani kusaka maisha,akakaa huko muda mrefu kiasi aliporudi akakuta mkewe mjamzito akaombwa msamaha nae akasamehe na kuondoka tena kurudi mererani, next time aliporudi tena home akakuta mkewe ana ujauzito tena.,this time hakukaa sana akaondoka, aliporudi tena next time akakuta wale watoto wameshakuwa tayari ndipo alipochukua rungu na kuwaua kwa kuwaponda wote wawili.,sasa waungwana huu ni wivu, ujinga au kulinda hadhi ya ndoa?