niliwahi kutumiwa kitu kama hii kwenye email yangu nimeshinda paundi laki saba wakati sikuwahi kucheza bahatai nasibu yoyote.....nikareply kujifanya nataka ufafanuzi zaidi lengo langu jamaa areply maana ningepata information za kuitrace hiyo email, cha ajabu yeye akawa anajibu ila kwa kuconstruct fresh email....ndipo mwishoni nikamwambia peleka hizo hela kwenye vituo vya kulelea watoto yatima, hakujibu tena.............watu wanapenda sana dezo dezo, bora wewe umeshtuka mapema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.