LINCOLINMTZA
JF-Expert Member
- Mar 15, 2011
- 1,639
- 516
Kipindi cha nyuma, watu waliaanza kuvaa vikuku au cheni za mguuni; watu walihushisha na vitendo vya kufanya mapenzi tofauti na utaratibu.Pamoja na hayo, watu wengine walihusisha vitendo hivyo na urembo tu wa kawaid !.
Siku hizi nimekuwa nikiona watu wamevaa pete katika vidole tofauti tofauti hadi dole ngumba bila kusahau la kati.
Hii ni kwa wanawake na wanaume. Kwa ufahamu wangu mimi, kidole cha ndoa au mahusiano ni kile cha pili kutoka kwenye kidole kidogo.
WanaJF, napenda kuuliza, je huu ni urembo tu au ni zaidi ya urembo?
Tafadhari, mwenye kufahamu atujulisha maana na aina ya uvaaji wa pete na vikuku.
Nawakilisha.
Siku hizi nimekuwa nikiona watu wamevaa pete katika vidole tofauti tofauti hadi dole ngumba bila kusahau la kati.
Hii ni kwa wanawake na wanaume. Kwa ufahamu wangu mimi, kidole cha ndoa au mahusiano ni kile cha pili kutoka kwenye kidole kidogo.
WanaJF, napenda kuuliza, je huu ni urembo tu au ni zaidi ya urembo?
Tafadhari, mwenye kufahamu atujulisha maana na aina ya uvaaji wa pete na vikuku.
Nawakilisha.