Huu ni Urafiki au ni upuuzi mtupu!? Watanzania tumerogwa na nani!!??

nadhan lawyer wake hakuwa lawyer mzuri, there is always a loophole kwenye mkataba wowote unahusiana na mkopo nina experience ya hiki kitu na ndiyo maana siku zote wanaotajirika kwa mikopo ya bank uwa hawafungwi kwa kutolipia mikopo.
Kama hapo juu mdau alivyosema kama inawezekana kukata rufaa na goodlawyer basi ifanyike hivyo na mwisho wa siku akiwashinda awadai fidia pia.
Huu si mkopo uliotolewa na taasisi za kifedha, naomba uelewe vizuri, hii ilikuwa ni Gentle Agreement, ila biashara zilivurugika na suluhu nje ya mahakama ikashindikana, na inaonekana Complainant hakuwa anaamini kwa 100% kwamba jamaa kweli ali collapse kwenye biashara aliyoinvest.
 
Okay! Ila what im saying Complainant awe anaeleweka, huwa wanakubali CHOCHOTE mwanzoni ili MUMPUNGUZIE HASARA YAKE, Ila mkishampa 1st payment ya 20M Huwa wanaanza kucheza na FINANCE hapo, Kudai INFLATION CHARGES, WATADAI GHARAMA ZA KUENDESHA KESI, COMPENSATION YA TIME VALUE OF MONEY, INTEREST YA HIYO PRINCIPAL(MDA WOTE TOKA PAYMENT IWE DUE!) ETC! ETC! Na mwishowe badala ya 20M itakuja kuwa hata 50M, na zote wako LEGALY ENTITLED wakicheza vizuri na sheria. Nshomile wengi wametajirika kwa kuabuse Business Laws. Haswa akiona mna nia sana ya kumtoa huyo ndugu! Mi I have a lawyer friend NDO MCHEZO WAKE KUWAFUTILIA MBALI waliofilisika thats why NAKUALERT MAPEMA!!!! Anawapa Hope ndugu wa mfungwa, wakipunguza deni, ana rise hizo chares za fidia, na valuation irudiwe upya!!! Hapana chezea NSHOMILE! MUWE LEGALY COMPITENT!!!! Lasivo HATOTOKA hata mkipunguza Deni hilo!
Mi nitamuombea tu kwa Mola amjaalie. Wapi LAWYERS wa JF??????

i know a lawyer when i see one lol
 
Wadau wa MMU naomba kushare na ninyi kuna kitu cha ajabu sana nimexperince weekend hii iliyopita, inshort nina rafiki yangu ambaye tumekuwa wote wakati wa childhood lakini kutokana na kila mtu kuwa bize na misele yake basi hatukuwa na mawasiliano ya karibu kwa kipindi fulani.

Sasa last week ndio nikapata taarifa zake kwamba alipata hasara kwenye biashara zake na akawa ameingia kwenye mgogoro wa madeni mpaka kufikishana Mahakamani na mdai wake, na inaonekana maelewano hayakuwa mazuri imepelekea huyu jamaa yangu kuhukumiwa jela miaka 3.

Baada ya kupata hizi taarifa ndipo ikabidi niende gerezani kumuona nijuwe all the story ndipo niliposhangazwa eti amefungwa kwa deni la shilling millioni 20 na bado kwa mujibu wa vyombo husika kinachotakiwa ni kulipwa hizi pesa hili kifungo kisitishwe kisheria.

Sasa hapa ndio narudi kuunga mkono msimamo wa Speaker kwamba i will never donate michango ya harusi any more, maana huyu jamaa kama sikosei harusi yake tulimchangia millioni 25, je wale watu wako wapi wakati huu ambao ndio anahitahiji zaidi msaada wao?

Nb: Nipo kwenye mchakato wa kuwapata marafiki wote wa kweli ili kumaliza hii kadhia na i mean sichangii tena harusi labda school fees na humanitarian needs kama hizi.

mhhh, huyo jamaa anapenda sana car racing?
 
Bado haujakuwa na wala hujakutana na mitiani ya maisha, kaa karibu kwanza na matajili waliofirisika wakati hata ukumbi wa Disco haujui ndio utajuwa Biashara ni kitu gani.

Leo Dar Express limeunguwa moto na kuteketea lote Segera, je kama una mali zako mule za Millioni 30 na zimeteketea zote hapo inakuwaje? Think Big Bro.

Huu mfano wako umenikumbusha mbali sana.
Jamaa alikua ameenda kuuza "mzigo" zambia,sasa hela wakawa wemeweka
kwenye viroba kama mzigo hivi.

Gari ilivo ungua njiani hata hawajui ilianzaje,wanachojua tu ni kwamba walikua
mamilionea kabla ya gari kuungua,na mda anasimulia alikua hana hata nauli ya kumfikisha
mwanza.

Dah,maisha haya,.........usitukane mamba kabla ya kuvuka mto,bahati ya jamaa ni kwamba hakukopa
ulikua mzigo wake.
 
Matola umesema kweli hizi kesi zipo, kuna jamaa hapa Dodoma kapelekwa na mdai Gerezani Isanga kwa ajili deni 5m
Hakimu anachomuuliza Mdai atamlipia gharama mdaiwa Gerezani?
Mdai akikubali Hakimu anakupeka Gerezani ndani ya miezi 2 ilipe deni ukiwa jela na hizo gharama za kulala zinangezwa ktk Deni.
Bw Jela hapokei mdaiwa mpaka alipwe cash ya chakula na godoro jipya km mdaiwa alidai
1-hilo deni ni la mtu binafsi sio Kampuni na Benki.Ingekuwa deni la taasisi wangechukua dhamana alizoweka Ingekuwa Kampuni yake Mahakama isungemuweka ndani kwani bbuu Mufilusi Mkopeshaji hakutathmini biashara ba Mkopaji
2 Matola kweli jamaa msaidieni kumlipia deni huku mkimuomba Mdai aondoe riba, gharama za jela, za kuendesha kesi na amsamehe
3-kuhusu hela/mali kuungua ndani ya Basi (Dar-Express) nikweli hulipwi hata senti kazi yao ni abiria tu na mzigo wako ni juu yako. Pesa peleka kwa karani na atakupa gharama na risiti 100,000/ utalipa 10.000/ sasa uamuzi ni wako peleka Benki au MPesa
Harusi na Misiba usiache kuchangia hata jamaa mkimtoa awe mpole hasa kwa mdai kwani pesa atakayolipwa atasumbua nayo bado
 
Last edited by a moderator:
Wadau wa MMU naomba kushare na ninyi kuna kitu cha ajabu sana nimexperince weekend hii iliyopita, inshort nina rafiki yangu ambaye tumekuwa wote wakati wa childhood lakini kutokana na kila mtu kuwa bize na misele yake basi hatukuwa na mawasiliano ya karibu kwa kipindi fulani.

Sasa last week ndio nikapata taarifa zake kwamba alipata hasara kwenye biashara zake na akawa ameingia kwenye mgogoro wa madeni mpaka kufikishana Mahakamani na mdai wake, na inaonekana maelewano hayakuwa mazuri imepelekea huyu jamaa yangu kuhukumiwa jela miaka 3.

Baada ya kupata hizi taarifa ndipo ikabidi niende gerezani kumuona nijuwe all the story ndipo niliposhangazwa eti amefungwa kwa deni la shilling millioni 20 na bado kwa mujibu wa vyombo husika kinachotakiwa ni kulipwa hizi pesa hili kifungo kisitishwe kisheria.

Sasa hapa ndio narudi kuunga mkono msimamo wa Speaker kwamba i will never donate michango ya harusi any more, maana huyu jamaa kama sikosei harusi yake tulimchangia millioni 25, je wale watu wako wapi wakati huu ambao ndio anahitahiji zaidi msaada wao?

Nb: Nipo kwenye mchakato wa kuwapata marafiki wote wa kweli ili kumaliza hii kadhia na i mean sichangii tena harusi labda school fees na humanitarian needs kama hizi.

Dah,i can imagine hali ilivokua kwa jamaa.
Mikopo hii ni balaa,tena na hivi nimetoka kopa juzi juzi,ngoja nikomae hapa mmh.

Na hela ya kukopa tamu kweli.
Watu wa kuchangia hapo utakao wapata dah,ni wema wao tu.
Ila waambie kuna bia sehemu,hata kama jamaa anaweza nunua kreti 5 akanywa kwake
yuko radhi kutoa 1M akanywe bia 4 kwenye harusi na anaridhika kabisa,......kisa,harusi itakua na bia.

Hapo ndipo mtihani wa ku-prove urafiki wa kweli.
Go ahead dude,do it.
 
Hivi mtu unaweza kufungwa kwa kushindwa kulipa deni?
Naomba mnipe shule kuhusu sheria hiyo.
 
Matola kwanza nikupongeze kwa jitihada ulizoweka kumsaidia huyo jamaa yako, wewe utakuwa umeelezwa kiundani zaidi nini kilifanyika na what went wrong, hata hivyo ningependekeza pamoja na ushauri uliotolewa na wengine ukiwemo wa lara 1 kuhusiana na Nshomile, ungeenda mbele kidogo kusikiliza ukweli wa upande wa tatu (third part) ili ujue nini kilijiri kwa kuwa mimi huamini kuwa kila mtu hufanya kosa fulani la kipuuzi ambalo humpelekea kupata adhabu, anaweza kuwa anakuelezea a very good story ambayo you will fill sympathy and agrieved kwa mtu aliyemtendea, lakini ni vyema kujua contribution yake (ya hali si ya kipesa) ni nini kufikia hali hiyo. Hii itamsaidia yeye kutokurudi tena huko pindi mpango wa kumsaidia utakapokamilika. Binafsi naungana mkono na wewe kuwa tumekuwa tukipoteza fedha nyingi sana kwenye harusi na kusahau kabisa mambo ya msingi kama uchangiaji wa afya na elimu. Mkuu mimi kwenye bajeti yangu nimetenga kiasi kidogo sana kwa ajili ya harusi, kiasi kikubwa ni katika kusaidia watu kwenye elimu na afya. kumchangia mtu biashara niko reluctant sana kwa kuwa huhitajika pesa zilezile sana na uwekezaji wa elimu na probability ya mafanikio ni ndogo.
 
Last edited by a moderator:
angekufa amekufa mazishi yake watu wangechangia hata m mia
kweli wanaume wabaya...
 
angekufa amekufa mazishi yake watu wangechangia hata m mia
kweli wanaume wabaya...

Ni kweli ungewasikia wanafki wansema hawataki maiti ibwebwe na pick up, bali wanataka Benz maalum kwa ajili ya kubeba mwili na lile cofin hawataki la laki nne bali la millioni mbili halafui linakwenda kufukiwa ardhini.

Kweli Smile nakuunga mkono Wanaume wabaya na usikute wengine ndio wale wazee wa kazungurukee wanataka wamgonge vizuri mke wake, maana ni mmoja wa vimwana waliokuwa wanatingisha enzi za Jangwani Girls Secondary school.
 
Last edited by a moderator:
Hivi mtu unaweza kufungwa kwa kushindwa kulipa deni?
Naomba mnipe shule kuhusu sheria hiyo.
Kwamba unataka shule kuhusu civil case na criminal case?
Bongo kila kitu kinawezekana civil case inaweza kugeuzwa kuwa criminal case. nadhani nitakuwa nimekujibu swali lako.
 
Back
Top Bottom