Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,820
Kuwaorodhesha wanawake ulio tembea nao, tena unafanya hivyo kwenye mitandao ya kijamii huku ukiwataja kwa majina yao halisi na majina ya ukoo. Unayefanya hivi ni baba mtu mzima mwenye mke na watoto wawili, unavuka mipaka kwa kusema kuwa eti umewala ule mtandao maarufu wa mawasiliano. Hatukuwepo, lakini mambo mliyo yafanya sirini yawe ni siri yenu yasije huku kwenye mitandao ya kijamii. Inasikitisha