Huo ndio unaitwa UKAUZU....
Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya firauni........mie hawara wa ex-hubby alikuja kanisani(tulikua kwenye rehearsal) kumpa mchango wa harusi sasa sijui hapa we ungefanyaje?niligombana sana siku hiyo nikanuna sanaaa lkn haikusaidia na harusi ndio ilikua siku mbili zijazo. Na harusini alikuja na kucheza sanaaaa na baada ya harusi waliendelea kumegana mpaka walipoamua kusitisha wenyewe kwa mapenzi yao(sikumshurutisha amuache). Haya niambie unaionaje hii?
juma na jamila wote si wazima
Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya firauni........mie hawara wa ex-hubby alikuja kanisani(tulikua kwenye rehearsal) kumpa mchango wa harusi sasa sijui hapa we ungefanyaje?niligombana sana siku hiyo nikanuna sanaaa lkn haikusaidia na harusi ndio ilikua siku mbili zijazo. Na harusini alikuja na kucheza sanaaaa na baada ya harusi waliendelea kumegana mpaka walipoamua kusitisha wenyewe kwa mapenzi yao(sikumshurutisha amuache). Haya niambie unaionaje hii?
Ilikuwaje basi akawa exhubby?
hahaaa hata mie nilitaka kuuliza ila nkapotezea eh
Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya firauni........mie hawara wa ex-hubby alikuja kanisani(tulikua kwenye rehearsal) kumpa mchango wa harusi sasa sijui hapa we ungefanyaje?niligombana sana siku hiyo nikanuna sanaaa lkn haikusaidia na harusi ndio ilikua siku mbili zijazo. Na harusini alikuja na kucheza sanaaaa na baada ya harusi waliendelea kumegana mpaka walipoamua kusitisha wenyewe kwa mapenzi yao(sikumshurutisha amuache). Haya niambie unaionaje hii?
mwisho wa cku niambiwe inahuuu!
Ilikuwaje basi akawa exhubby?
Pole sana, lakini hongera sana kwa uvumilivu. Hiyo ndio mbinu bora ya kushinda vishawishi vya uvunjivu wa ndoa. Uzuri zaidi huonyeshi kuwa umelipiza kisasi. Ukianza kufikiri kulipiza tu, ndoa yako itakosa amani na kuvunjika. Kibaya ni kuwa huna haja ya kuangalia huo mkanda wa video ya hiyo harusi.
hahaaa hata mie nilitaka kuuliza ila nkapotezea eh
Dini zote tu zinaruhusu hata kama kina john...matatizo ya kina John na Janny hawajui kusoma vitabu vyao vinasema nini :bounce:dini ya Juma na Fatu inaruhusu kumuongeza Jamila katika familia......