Huu ni Ukweli wa Dr Slaa??

Masikini binadamu,

Mungu aliwapa kila kitu kwenye bustani ya Edeni lakini wakamuasi na kula tunda alilowakataza, wakaanza kufa, lakini Mungu akawaletea mtoto wake ili awaokoe na kifo, lakini wakamuua na yeye pia,

Ooh Binadamu, sijui nimtume nani kuongea nao ili wanisikilize angalau kidogo tu! - Mungu.
 
Kwa kuwa mwenyewe Dr Slaa yumo humu ajibu hili itasaidia sana kwa sisi wananchi wa kawaida ambao tunaamini kuwa huyu ni shujaa wa kutokomboa kutoka kwenye makucha ya mafisadi.

sasa kama haya yataachwa hivi hivi bila maelezo kuna hatari ya kuruka maji na kukanyaga matope halafu tunayatamani yale yale maji tuliyoyaruka ili kujiosha!

Dr kwa heshima na taadhima wewe ni mtu wa dini sisi kondoo wako tunaomba ufafanuzi wa hili
 
Dr. Slaa hana sababu ya kuacha ishu muhimu za wananchi kuja kujibu hizi nonesense, ukweli ni kwamba tumeshindwa kuheshimu kuwepo kwake hapa na sitashangaa asiporudi tena,

Mimi nilifikiri tutamuuliza maswali serous kuhusu maendeleo ya taifa letu, na exactly maana ya ufisadi ni nini since yeye ndiye muanzilishi wa hii theory, haya mawswali yanaweza kutusaidia nini sisi wananchi wa kijijini?

Ndivyo tulivyo, yaani Mi-Afrika!
 
Dr. Slaa hana sababu ya kuacha ishu muhimu za wananchi kuja kujibu hizi nonesense, ukweli ni kwamba tumeshindwa kuheshimu kuwepo kwake hapa na sitashangaa asiporudi tena,

Mimi nilifikiri tutamuuliza maswali serous kuhusu maendeleo ya taifa letu, na exactly maana ya ufisadi ni nini since yeye ndiye muanzilishi wa hii theory, haya mawswali yanaweza kutusaidia nini sisi wananchi wa kijijini?

Ndivyo tulivyo, yaani Mi-Afrika!


Sasa vipi kuhusu ile kauli mbiu "komkoma nyani giladi" or "we dare to speak openly" hazifanyikazi tena ktk mazingira haya?
 
Sasa vipi kuhusu ile kauli mbiu "komkoma nyani giladi" or "we dare to speak openly" hazifanyikazi tena ktk mazingira haya?
Si katika mambo ha udaku. Kwanza toa attribution ya stori yako and we will take it from there.
 
Sasa vipi kuhusu ile kauli mbiu "komkoma nyani giladi" or "we dare to speak openly" hazifanyikazi tena ktk mazingira haya?

kila siku iendayo kwa Mungu, wananchi tunabadilika na ku-grow up, tumekuwa hapa long enough kujua what we stand for and what we stand on,

Kumkoma nyani giladi iwe ni kwa faida ya kutetea wananchi, au taifa sio kwa sababu ya kumnasa au kum-gotcha kiongozi wa taifa aliyejitolea kuja hapa kujiunga nasi tena voluntarily, I mean haya maswali ili yawasaidie nini wananchi wa vijijini?

Tutamkoma nyani vipi na majina 100?
 
kila siku iendayo kwa Mungu, wananchi tunabadilika na ku-grow up, tumekuwa hapa long enough kujua what we stand for and what we stand on,

Kumkoma nyani giladi iwe ni kwa faida ya kutetea wananchi, au taifa sio kwa sababu ya kumnasa au kum-gotcha kiongozi wa taifa aliyejitolea kuja hapa kujiunga nasi tena voluntarily, I mean haya maswali ili yawasaidie nini wananchi wa vijijini?

Tutamkoma nyani vipi na majina 100?

Ni kilio chako always, majina 100, majina 100, majina 100 wimbo ushazoeleka huo... huna mpya?
 
Maskini Watanzania, kwa nini tunawaachia Mafisadi kuwanyongónyeza wapiganji wetu kwa hizi mbinu chafu,

Hawatatuachia hawa, Wakimmaliza Mbowe watakuja kwa Dr. Slaa wakimmaliza hawatapumzika wataenda kwa Zitto na hata Wapiganaji Wengine.

Mimi nadhani kuna haja ya Kuwalinda hawa wapiganaji kwa maana wamekuwa ni Sauti za Bibi zetu, dada zetu, babu zetu, baba zetu na hata kaka zetu ambao wameathiriwa kwa kiasi kikubwa na Ufisadi.

wakimmaliza Dr. Slaa ni nani atawazungumzia Wastaafu wa iliyokuwa EAC? Ni nani atawakaripia Wabadhirifu wa Uchumi wa Nchi hii? Je Tunataka mafisadi waanze tena Kulala usingizi mtamu? However anayetetea maslahi ya walalahoi from the heart MUNGU ATAMLINDA DHIDI YA FITNA ZOZOTE.
 
Maskini Watanzania, kwa nini tunawaachia Mafisadi kuwanyongónyeza wapiganji wetu kwa hizi mbinu chafu,

Hawatatuachia hawa, Wakimmaliza Mbowe watakuja kwa Dr. Slaa wakimmaliza hawatapumzika wataenda kwa Zitto na hata Wapiganaji Wengine.

Mimi nadhani kuna haja ya Kuwalinda hawa wapiganaji kwa maana wamekuwa ni Sauti za Bibi zetu, dada zetu, babu zetu, baba zetu na hata kaka zetu ambao wameathiriwa kwa kiasi kikubwa na Ufisadi.

wakimmaliza Dr. Slaa ni nani atawazungumzia Wastaafu wa iliyokuwa EAC? Ni nani atawakaripia Wabadhirifu wa Uchumi wa Nchi hii? Je Tunataka mafisadi waanze tena Kulala usingizi mtamu? However anayetetea maslahi ya walalahoi from the heart MUNGU ATAMLINDA DHIDI YA FITNA ZOZOTE.

I think u r in a wrong place unknowingly. Hili ni jukwaa huru na uliowataja ni memba humu, as the matter of fact hakuna mwenye immunity asijadiliwe eti " watamawaliza wapiganaji wetu" labda unadhani upo ktk chadema web. Hapa ni kanyaga twende...
 
Ni kilio chako always, majina 100, majina 100, majina 100 wimbo ushazoeleka huo... huna mpya?

I know, vipi na wewe hauna wimbo mpya zaidi ya kumshupalia DR.Slaa, uliuliza swali nikakupa jibu au? Vipi la majina 100 mbona limekugusa sana?
 
Naomba kusema nimesoma post ya Mnyika ya kwanza tu... sijasoma sehemu nyingine yoyote... ila naomba kuchangia kwa post hii moja.

Mjadala huu hauna tija... baada ya kujua ya Dr. Slaa then what next?

Jadili kukomboa nchi iliyoko kwenye umaskini mkubwa...
 
JF kwa data! Ila tu tuangalie maana sisi wote ni wahalifu na kila mmoja wetu amewahi kufanya makosa mbalimbali katika maisha.

Muhimu ni kuangalia yanayotendeka sasa na sio kuangalia mambo ya miaka 20 nyuma. Ingelikuwa hivyo watu kama Clinton wasingeliweza kuwa marais USA. Pamoja na kuvuta bangi huko nyuma lakini bado jamaa aliifaa dunia.

Hata kama Dr. Slaa kuna vitu alifanya huko nyuma, bado mimi naona kwasasa yeye ni nafuu mno kuliko wabunge wetu wengi.
 
Dr. Slaa hana sababu ya kuacha ishu muhimu za wananchi kuja kujibu hizi nonesense, ukweli ni kwamba tumeshindwa kuheshimu kuwepo kwake hapa na sitashangaa asiporudi tena,

Mimi nilifikiri tutamuuliza maswali serous kuhusu maendeleo ya taifa letu, na exactly maana ya ufisadi ni nini since yeye ndiye muanzilishi wa hii theory, haya mawswali yanaweza kutusaidia nini sisi wananchi wa kijijini?

Ndivyo tulivyo, yaani Mi-Afrika!

na asiporudi tena hapa sita muelewa na nitamuona si mpiganaji.......nitanshusha sana...
 
Naomba kusema nimesoma post ya Mnyika ya kwanza tu... sijasoma sehemu nyingine yoyote... ila naomba kuchangia kwa post hii moja.

Mjadala huu hauna tija... baada ya kujua ya Dr. Slaa then what next?

Jadili kukomboa nchi iliyoko kwenye umaskini mkubwa...

Asante sana
 
na asiporudi tena hapa sita muelewa na nitamuona si mpiganaji.......nitanshusha sana...

Upiganaji wake hauwezi kupimwa na maswali yakuhusu maisha yake miaka 30 iliyopita, ila kwa maswali yanayohusu kilichomfanya awe shujaa wa taifa, ni maswali kuhusu ufisadi,

Wewe ya kwako binafsi unaweza kuyajibu hapa? Na usipoyajibu utakuwa what? I mean hatuijaishiwa hoja za taifa hapa JF,

Dr. slaa ni member kama wengine wote hapa kama inabidi awekwe kiti moto kuhusu maisha yake ya binafsi basi itakuwa vyema wale wanayoyataka wakaanza kutuambia ya kwao kwanza tuone jinsi walivyo malaika, maana tunawajua karibu wote na maisha yenu suspect, haya anzeni sasa!
 
Swali kwa JJ

kama kiongozi wa CHAMA na wa umma

je unaweza kutufahamisha kuhusu maendeleo yako ya kimasomo? Unasoma wapi? unasomea nini na unamaliza nini

by the way naendelea kusoma hoja zinginezo humu kabla sijaingia rasmi
 

MJUE DR SLAA

Mpaka sasa SLAA hana nyumba huko Karatu, badala yake hulala kwa rafiki yake ambaye inadaiwa ni shoga.

Tangu mwaka 1977 hadi 1991, SLAA alikuwa Padre wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mbulu. Aliachishwa Upadre baada ya kukosa uaminifu na kuendekeza tabia ya ufuska na wake za waumini. Hali hiyo ilimpelekea kupata watoto wawili wakati akiendelea kutoa huduma za kiroho. Watoto hao ni EMILIANA aliyezaliwa 18/06/1987 na LINUS aliyezaliwa 23/09/1988. Dr. SLAA alimuoa ROSE, mmoja wa waumini wake mwaka 1991 ndipo kanisa likamfukuza Upadri. Wakati huo ROSE alikuwa mchumba wa mweka hazina wa Kanisa ambaye miaka michache baadaye alikufa kutokana na mfadhaiko.

Uchunguzi umeonesha kwamba, Dr. SLAA ni fuska aliyebobea, na anayo tabia ya kufanya mapenzi na wake wa marafiki zake hata baada ya kuoa. Kwa mfano Diwani wa Kata ya Baray wilayani Karatu LAZARO TITUS MASSAY (CHADEMA) aliwahi kupeleka malalamiko katika uongozi wa juu wa CHADEMA kuhusu tabia ya SLAA ya kufanya mapenzi na wake za watu wakiwemo hata wake za Madiwani Jimboni Karatu. Aidha, tarehe 01/11/2004, SLAA alifumaniwa na mkewe katika chumba kimojawapo cha Hotel 56 mjini Dodoma akiwa anafanya mapenzi na msichana aitwaye NJARI.
SLAA aliruka dirishani bila nguo na wahudumu wa hoteli wakamsetiri kwa shuka na kumficha hadi mke wake alipoondoka kwa hasira kali baada ya kupambana na 僧wizi・wake sawasawa - tukio hilo lilinaswa kwenye mkanda wa simu ya mkononi ya mhudumu na umehifadhiwa kwa matumizi katika wakati muafaka.

Dr. SLAA anasumbuliwa na 爽gonjwa mkubwa・ Amekuwa akienda kutibiwa mara kwa mara nchini Afrika Kusini. Mwezi Oktoba hadi Desemba, 2006, SLAA alilazwa katika Hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam akitibwa 組onjwa moja hatari sana ・


Dr. SLAA amewahi kula mamilioni ya fedha za vilema ambazo zililetwa na wafadhili toka Ujerumani. Ushahidi upo kama atafanya ubishi.

Alihongwa nyumba Ujerumani na hawara yake wa Kijerumani ambaye sasa ni marehemu na Dr. SLAA anategemea kuhamia huko. Inasemekana Dr. SLAA na hawara yake ambaye ni marehemu walishirikiana kumuua mume halali wa mama huyo aliyejulikana kwa jina la 全imbosh・

Dr. SLAA alikuwa kachero wa Idara ya Usalama wa Taifa kama alivyo LYATONGA MREMA na alikuwa anaendelea kulipwa kiasi kikubwa cha fedha. Baadaye Idara hiyo nyeti iligundua fedha hizo anapeleka kwa hawara zake hivyo ikasitisha malipo hayo hali ambayo imemuudhi na akaanza kuipaka matope kwa kuituhumu na taarifa za kughushi anazodai amezipata. Vyanzo vya kuaminika vimebaini SLAA alipewa taarifa ya kughushi na akainunua kwa bei mbaya. Baada ya kubaini hivyo sasa anamsaka mbaya wake aliyemwingiza mjini.

Ujumbe huu ambao inaaminika MBOWE na ZITTO KABWE wanausambaza kwa kasi umemtia hofu Dr. SLAA kwani anajua yapo mengi yanayomhusu ambayo asingependa yajulikane. MBOWE na ZITTO wanaungwa mkono na chama cha CUF ambacho nacho kinadhani CHADEMA imekipiku katika umaarufu wa upinzani. Sera ni jino kwa jino.



Ugonjwa mkubwa usion na jina nadhani kwa akili ya haraka haraka utakuwa ni PACKAGE au Ukosefu wa Kinga Mwilini?

anyway huyu mzee has been in the game for a while kuliko hao wakina WAPUKI lakini looks like history ina catch up naye
 
Back
Top Bottom