Hii kazi unayoifanya, walisha ifanya wenzio ( Ritz, Rejao, FF, Nyaning'abu, Mwita25) wakachemka hadi Nape boss wako akaja mwenyewe nae pia akashindwa!! Sasa wewe kiroboto kwenye kunguni sidhani kama utaweza! Ila jitahidi!!
Chunga sana maneno yako, hunijui sikujui, siku nyingine usiniite kunguni utaumia.
.
"WASIOTAWALA NI CHAKULA CHA WATAWALA".