oldd vampire
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 253
- 52
habari zenu wana jf doctor..samahani boyfriend wangu anaumwa sana kichwa mpaka damu zamtoka puani nyingi tuu..mpaka sometimes hua adondoka kwa ajiri ya kizunguzungu...na kina msumbua mda mrefu sana ..kuna mtu aliniambia ni dalili za brain tumour ni kweli?nisaidieni mana ateseka sana