L LadySwa Member Jan 25, 2009 77 6 Apr 28, 2010 #1 kichwa hakiniumi il nahisi kama tambaazi hasa juu utosini ,na mara nyingine inapotea au pia kama vile uhisi kitu kichwani .
kichwa hakiniumi il nahisi kama tambaazi hasa juu utosini ,na mara nyingine inapotea au pia kama vile uhisi kitu kichwani .
Rubi JF-Expert Member Oct 5, 2009 1,615 326 Apr 29, 2010 #2 Mmh! pole mateso yakizidi nenda kwa daktari.
M Mokoyo JF-Expert Member Mar 2, 2010 15,145 5,553 May 9, 2010 #4 Mkuu pole sana, nenda kafanye vipimo, pale TMJ kuna vipimo vizuri sana vya tatizo lako tatizo ni gharama kubwa
Mkuu pole sana, nenda kafanye vipimo, pale TMJ kuna vipimo vizuri sana vya tatizo lako tatizo ni gharama kubwa