infantrier
JF-Expert Member
- Jan 1, 2013
- 343
- 126
Sikonge nitakuja kukutembelea muda si mrefu ujao.
Mmoja wa washabiki wa muziki wa kizazi kipya ambaye alivaa vazi lililoacha ------ nje....
Shabiki huyo alipanda jukwaani kumkumbatia msanii maarufu nchini , Ommy Dimpoz wakati alipokuwa akitoa burudani katika mashindano ya Redds Miss Tabora.
Tukio hilo la aibu lilitokea mbele ya wabunge....
Mbunge wa Jimbo la Sengerema Bw.William Ngereja akiwa na Diwani wa kata ya Kitete manispaa ya Tabora Bw.Daniel Mhina ambaye alikuwa MC katika onesho hilo lililofanyika katika ukumbi wa Frankman Hotel mjini Tabora.
Ipo lakini ni kauzi tu kameshikilia.
Hahahah...anaruhusiwa sana tena hao wanasiasa ndio wanaongoza...kwani haruhusiwi kuona neema za allah?
kwani haruhusiwi kuona neema za allah?
mmh hata pichu hakuna!!!!!!
huyu yupo kikazi zaidi......
Mama mbavu zangu zinauma. Kwikwikwikwikwikwiwii. UwiiiiiiiZamani ili kulifikia tak.o lazima ufunue chup.i ila kwa siku hizi hali ni tofauti kidogo kwa sababu ili uione chup.i lazima ufunue tak.o kwanza
Wanajidhalilisha wenyewe kwanza wengine wanakazia hoja tu. Wakipinga vivazi hivyo hata wenzao wenyewe wanawashangaa.Halafu nikiongea maneno ya haki naambiwa nawadhalilisha wanawake