alexmahone
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 482
- 405
Duh kitu lavu bila chenga yaani TA KO, angekuwa TID enzi zake lazma angempiga kidole huyo.Nakumbuka FIESTA kati ya 2005 au 2006 uwanja wa Jamhuri Dodoma,sista Du mmoja alipanda jukwaani kucheza na mnyama aisee jamaa alimnyanyua juu halafu akamnyonya mate alivyomshusha demu alipoteza uelekeo akabaki kaduwaa tu.