Huu ni mwisho wa Ze Comedy au ni Mkataba umeisha au wakiingia TBC watakuwa huru tena

Kuna wakati mwaka jana niliandika hapa .Nilikaa chini na Masanja nikaongea naye .Alisema haya .Mzee Lunyungu kaka yangu usituone hapa .Kila tukiwa studio huwa hatuamini kama next day titakuwa salama .Maana tunapata vitisho sana toka kwa wakubwa serikalini na hasa tukiwa kandamiza pale .So ni kazi ngumu na inahitaji moyo .Je CCM kama kawaida wamesha nyoosha mkono?Lazima niangalie mbali zaidi ya mkataba .

Na kwa shy mpuuzeni anataka wenzake wakasome na yeye anaendeleza u snitch ? Si uende nawe ukasome ukomae akili uachana na u snitch ?
mmh!! Lunyungu!!
 
Back
Top Bottom