Huu ni msiba kwa WATANZANIA

mwenzenu labda sielewi.
Kwni kuwekeza kwenye kilimo manake nini na athari zAke ni zipi. Tafadhari sana msichoke kunielewesha

Mkuu angalia tulivyoliwa kwenye madini, then hamishia hiyo kitu kwenye kilimo!!
Anyway, simple analysis:
1. Hao wawekezaji wakilima hela watakazopata watatujazia mifukoni kwetu? The answer is simply NO! . Kama tutapata fedha zitakuwa ni "pea nuts!"
2. Jambo jingine, ardhi imefanya nchi nyingi kuingia vitani au kwenye migogoro kwa sababu ya ukosefu/upungufu wa ardhi! As long as tunawaita hawa "wajomba" zetu ardhi wanayoiwekeza ni yenye rutuba na ni kubwa! Mwisho wa siku tutakuwa kama yale ya Zimbabwe!
3. Tujitegemee wenyewe, tuache kutawaliwa na hawa watu wakati UWEZO TUNAO! Enzi za Ujamaa na Kujitegemea zimeenda wapi? Are we going in a reverse direction?
Niishie hapa kwa sasa!!
 
tanzania ni zaidi ya uijuavyo.kila kitu kinatia hasira kuhusu namna nchi inavyoendeshwa
 
sioni ubaya kama wamekuja kulima pkantations kubwa na kuwaajiri watanzania.
kipi faida mashamba makubwa yabaki wazi au tuwape walime? wanajenga pia na miundombinu pia.
nijuavo hawalimi kupeleka kwako bali wanachozalisha kitatumika katika viwanda vya ndani
bakhresa anaagiza mahindi na ngano nje kwani mazao ya ndani hayatoshi kwa hivo wacha alime
viwanda vya ndani vipate mali ghafi na hivo bei za nafaka kupungua
tusikimbilie kulalamika wakati mashamba hayo hatulimi tumeyaacha/
kama ulishafika tabora hadi kigoma kuna pori kubwa sana lenye rutuba lakini liko wazi.

Kwa kweli bora wawekezaji katika kilimo kuliko wale wa Loliondo na mbuga zetu
 
sioni ubaya kama wamekuja kulima pkantations kubwa na kuwaajiri watanzania.
kipi faida mashamba makubwa yabaki wazi au tuwape walime? wanajenga pia na miundombinu pia.
nijuavo hawalimi kupeleka kwako bali wanachozalisha kitatumika katika viwanda vya ndani
bakhresa anaagiza mahindi na ngano nje kwani mazao ya ndani hayatoshi kwa hivo wacha alime
viwanda vya ndani vipate mali ghafi na hivo bei za nafaka kupungua
tusikimbilie kulalamika wakati mashamba hayo hatulimi tumeyaacha/
kama ulishafika tabora hadi kigoma kuna pori kubwa sana lenye rutuba lakini liko wazi.

Wa TZ, kwanini msilime wenyewe? kwanini mna mawazo tegemezi? haya ngoja wawalimie
 
anza basi kuonyesha shamba la mfano
mnapenda kulalamika sana huku wengi wanashinda vijiweni wakati mashamba yamejaa tele
hushangai machinga anazunguka siku nzima kwa faida ya sh 200? bora angelima lakini wapi
mapori yapo mengi yenye rutuba yapo tu
bora waje walime,waajiri vijana,tupate mali ghafi na bei za bidhaa kupungua
Wa TZ, kwanini msilime wenyewe? kwanini mna mawazo tegemezi? haya ngoja wawalimie
 
Back
Top Bottom