Hivi mil 300 unaweza kufanya mambo yote aliyoyataja huyu jamaa? Kununua nyumba dubai ni sh ngapi? Kujenga nyumba kunduchi sh ngapi? Kufanya ukarabati wa billz sh ngapi? Mtoa mada akajipange upyaaaa!!
Mimi ni kiongozi wa Chadema na wewe uliepost hii thread bora ukae chini utafakari b4 hujaandika ujinga wako humu, do you think Mbowe na Slaa ndio CHADEMA???? Wao ni viongozi na hawana hiyo njaa unayotaka kupotosha nayo watu, they stand for right and always they'll be there 4 TANZANIAN's people..... Bills mbona imekarabatiwa hata hiyo hela ya Sabodo haijatoka. Nadhani unjejiweka wazi what do you want from those 2 leaders....... na uache propaganda.....
Mkuu labda lile jengo la RITA yeye anadhani la bills. Si unaona kwenye sredi yake anasema Ukarabati unaendelea twende tukaone na kupruvu?Mimi ni kiongozi wa Chadema na wewe uliepost hii thread bora ukae chini utafakari b4 hujaandika ujinga wako humu, do you think Mbowe na Slaa ndio CHADEMA???? Wao ni viongozi na hawana hiyo njaa unayotaka kupotosha nayo watu, they stand for right and always they'll be there 4 TANZANIAN's people..... Bills mbona imekarabatiwa hata hiyo hela ya Sabodo haijatoka. Nadhani unjejiweka wazi what do you want from those 2 leaders....... na uache propaganda.....
Suala la kukaa alba apartments ni la binafsi labda wewe uje na invoice ya alba apartment inayokwenda cdm kudai malipo ya kodi ndo tutajibu.Na hii ya kuchukua gari shangingi wakati mbowe alikataa?
Swala la slaa kukaa abla apartments? Ingawa bei iliyotajwa ni kubwa kidogo I think its less than 250,000 kwa siku. Kuna picha ililetwa ya Slaa na mmiliki wa abla apartments wanakunywa kahawa mnakumbuka?
Hivyo visima mtajenga lini?
Jibuni hoja kwa hoja
Kwani wakati wanapewa hizo fedha za visima waliingia mkataba kuwa hadi kufikia lini viwe tayari?Mkuu, ebu tuambie hivyo visima vipo wapi au huo mradi wa visima unaendeshwa na kampuni gani?
Usiwe kama mwehu. Kwa akili yako sh 700Milioni unaweza kununua nyumba Dubai na kujenga nyumba kunduchi na kukarabati Billicanas na hela ikatosha?mbona kwenye misaada ya sabodo hapo hamdai soure? Na kama hiyo mnaikubali mbona hamjibii nukta hiyo hiyo tulioko nje tupate faida?
Tunathibitishaje kama ni kweli au la? Eti twende billicanas tukaangalie ujenzi, kweli? Billicanas yenyewe inauwezo wa kugenerate zaidi ya millioni 100 kwa mwezi. Please come up with something vivid sio unatunga stori kama za Shigongo. Kila mtu anaweza kuamka na kuandika kama ulichoandika!
Una makengeza au unajipa ujinga na upumbavu mwenyewe? Huwezi kuipitia tena sredi kuelewa ni kiasi gani kinalalamikiwa? Mleta sredi anakuja na figure tofauti tofauti ambazo jumla yake ni sh Mil 700. Kwa akili yako unaweza kununua nyumba Dubai kwa Mil 700? Jibu kwanza hilo.....MUWE WEPESI WA KUELEWA MNATAKA MCHAMBULIWE KILA KITU HALAFU MFANYE NINI 300M NI MFANA WA PESA TOKA MAFUNGU MBALIMBALI ZINAZOINGIA KWENYE ACC. Mbalimbali za cdm sasasa hapa kama kweli wewe ni mkereketwa wa CDM fuatilia kama mipango iliyotangazwa kufanyika kwa ujenzi na maendeleo ya Chama imefikia wapi! Je, VISIMA VYA SABODO NI MBUNGE GANI (jimbo) ama Diwani yupi (KATA) anayechimba kisima!? Jitahidi kuendelea kuwa mpumbavu na sio MJINGA.
Hivi mil 300 unaweza kufanya mambo yote aliyoyataja huyu jamaa? Kununua nyumba dubai ni sh ngapi? Kujenga nyumba kunduchi sh ngapi? Kufanya ukarabati wa billz sh ngapi? Mtoa mada akajipange upyaaaa!!
Umejiunga leo na umeaanza na pumba, Hebu weka ushahidi wako hapa sio unatoa povu kama yule Fisadi Mkapa anayesubiria ukombozi wa kweli na kupelekwa jela.
wacha kujichanganya nikuwekee ushahidi wa visima au gari kivipi..!!!! mmetumwa kututoa kwenye topic ya mkapa..hatulali tunaye leo..mpaka atarudia tena ile doz yake ya presha..
Hoja au majungu? Binafsi namfahamu Dr Slaa vizuri sana kwa taarifa yako huyu mzee angetaka afanye ufisadi angekuwa na pepo yake! Huyu amekuwa keki toka akiwa Mbunge na CCM wanamjua vizuri kuwa si mchafu labda tukubaliane kama mtu makini anaweza kuanza kuvuta sigara akiwa na zaidi ya miaka 55! Chadema ni taasisi inayoendeshwa kwa budget kama taasisi zingine.budget inaandaliwa toka ngazi za chini hivyo mtoa mada atuambie chama kinaendeshwaje kama pesa zote 3bilion zimefanya hayo aliyotaja? Unazungumzia akaunti ya wadhamini kuchotwa fedha za uchaguzi wa Arumeru sasa hapo issue ni nini? Budget ya uchaguzi imepangwa na Mbowe,Slaa tu? Kama budget inapangwa na watu wawili chama kizima hata huyo Mwanahalis(Tuntemeke) anafanya nini kwenye chama chenye up.uuzi wa level hii?Jamaa umetoa hoja,sema tatizo kuna wa2 hawaoni,.haiwezekani m2 anayepambana na ufisadi kukifanya chama kumlipia senior mchumba ulinzi