Huu ndo uhuru wa mahakama kwani ni mhimili unaojitegemea katika maamuzi yake...!!!

Apr 30, 2012
21
7
Uhuru wa Mahakama ndo huu juzi nilitoka kuzungumzia hili kuwa Mahakama ni muhimili wa Dola unaojitegemea kwa maamuzi yake.
Juzi Tundu Lissu(Chadema) alishinda kesi yake ya Uchaguzi bt hii leo HILARY AESHI(CCM) ameshindwa kwenye Kesi yake ya Ubunge wa Sumbawanga Mjini......Je Serikali ya CCM inamkono wake???
Naomba tuiachie Mahakama iwe huru cz ni Chombo kinachojitegemea na tusilete Siasa kwenye maamuzi yake!!!!!
Kumbuka bado kesi ya Makongoro Mahanga(Segerea) na John Mnyika(Ubungo)
 
Uhuru wa Mahakama ndo huu juzi nilitoka kuzungumzia hili kuwa Mahakama ni muhimili wa Dola unaojitegemea kwa maamuzi yake.
Juzi Tundu Lissu(Chadema) alishinda kesi yake ya Uchaguzi bt hii leo HILARY AESHI(CCM) ameshindwa kwenye Kesi yake ya Ubunge wa Sumbawanga Mjini......Je Serikali ya CCM inamkono wake???
Naomba tuiachie Mahakama iwe huru cz ni Chombo kinachojitegemea na tusilete Siasa kwenye maamuzi yake!!!!!
Kumbuka bado kesi ya Makongoro Mahanga(Segerea) na John Mnyika(Ubungo)
Kule Arusha walisema Ikulu inamkono wake......Kule Singida Mashariki walisema Tundu Lissu ameishinda Serikali ya CCM
Je,hii leo watasemaje juu ya Kuvuliwa Ubunge Mhe.Aeshi wa CCM?
 
Hongera wana sumbawanga, jiandaeni kwa uchaguzi mpya na pia zingatia changamoto zilizosababisha mkanyimwa haki zenu! Tuipongeze mahakama kwa kufanya kazi zake vizuri na pia yawe mafundisho kwa majaji wanaoamua kupindisha haki kwa kuondekeza ubinafsi. Mara zote haki ya mtu hailiwi bali inacheleweshwa.Ole wenu mnaichelewesha haki ya watanzania kwani siku zenu zinahesabika.
 
Kule Arusha walisema Ikulu inamkono wake......Kule Singida Mashariki walisema Tundu Lissu ameishinda Serikali ya CCM
Je,hii leo watasemaje juu ya Kuvuliwa Ubunge Mhe.Aeshi wa CCM?

Wewe umetumwa? post yako ya kwanza unakuja namna hii!
Join Date : 29th April 2012
Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received:0
Likes Given: 1

Wenzako wanajenga hoja kutokana na jinsi Jaji alivyojenga hoja kufikia hukumu. Wanatumia hoja za kisheria kuonesha mashaka na udhaifu wa hukumu. Unapotupa mifano ya Singida na Sumbawanga haina uhusiano na kesi ya Arusha.

Arusha CDM hawakuishia kulalamika, wamechukua hatua za kisheria kukata rufaa. Kama nyie pia mna hoja za kisheria za kuhoji hukumu, mbona mnaruhusiwa sana kukata rufaa.

Fundisho kwa CCM: RUSHWA inakiangamiza chama chenu.
 
Back
Top Bottom