Tanzania 4 Life
Member
- Apr 30, 2012
- 21
- 7
Uhuru wa Mahakama ndo huu juzi nilitoka kuzungumzia hili kuwa Mahakama ni muhimili wa Dola unaojitegemea kwa maamuzi yake.
Juzi Tundu Lissu(Chadema) alishinda kesi yake ya Uchaguzi bt hii leo HILARY AESHI(CCM) ameshindwa kwenye Kesi yake ya Ubunge wa Sumbawanga Mjini......Je Serikali ya CCM inamkono wake???
Naomba tuiachie Mahakama iwe huru cz ni Chombo kinachojitegemea na tusilete Siasa kwenye maamuzi yake!!!!!
Kumbuka bado kesi ya Makongoro Mahanga(Segerea) na John Mnyika(Ubungo)
Juzi Tundu Lissu(Chadema) alishinda kesi yake ya Uchaguzi bt hii leo HILARY AESHI(CCM) ameshindwa kwenye Kesi yake ya Ubunge wa Sumbawanga Mjini......Je Serikali ya CCM inamkono wake???
Naomba tuiachie Mahakama iwe huru cz ni Chombo kinachojitegemea na tusilete Siasa kwenye maamuzi yake!!!!!
Kumbuka bado kesi ya Makongoro Mahanga(Segerea) na John Mnyika(Ubungo)