Ha ha ha, au anakwenda kumfuatilia yule mwanafunzi aliyempatia kale ka mzigo kalichomfanywa atemwe ualimu mkuu?
Akafundishe nini? Kwata au gwaride? nayo hayakumbuki na hayawezi tena
ahaa ,ahaaa,teh,teh picha hiyo imenichekesha sanaa.Inatia hurumaduh alikuwa anatafuta mlango wa kutokea hapo hahahaaa kweli siasa mchezo mchafuuuu
huruma sana jamaniii!!! Ila naamni JK hawezi mtupa...amrudishe mkoani kwake (Dar - maana mkoa uko vacant) aendelee kupiga porojo
Habari za kiintelijensia nilizozipata ni kua anakwenda Bumbuli JK kashampatia shule ya msingi ya kwenda kufundisha.