Bila shaka haya ni maandalizi kabambe ya kuzipata kura za waislam,Ni ngumu nchi hii kushinda uchaguzi hasa wa urais bila kupata mseto wa kura za waislam na wakristo,nimelisema hili mara kadhaa kwamba chadema watoke maofisini waingie uswahili wajitakase mbele ya waislam ambao hawaitazami uzuri chadema,wanakiona kama sio chama chao pengine kutokana na propaganda za wapinzani wa chadema kisiasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.