ungonella wa ukweli
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 4,210
- 555
Sijaona kosa, ametumia haki yake ya kutoa maoni. Nadhani huyu anajitaidi. Sio kama ponda!
Hakuna la maana uliloongea zaidi ya kauli zenu za uchochezi na udini zinazokuja kuwatokea puani punde! Mkiambiwa ukweli mwawapakazia wanaowakosoa kuwa wanasiasa... Shame on you! Umetetea sana suala la kupeana vyeo kiukoo kama mwendawazimu kwa kuwa limekugusa... jiwe limetupwa gizani na limekupata bara bara!
mi sidhani suala ni kutetea nini au nani, ametoa hoja na ushahidi, angejibiwa kwa hoja na ushahidi.
Hakuna la maana uliloongea zaidi ya kauli zenu za uchochezi na udini zinazokuja kuwatokea puani punde! Mkiambiwa ukweli mwawapakazia wanaowakosoa kuwa wanasiasa... Shame on you! Umetetea sana suala la kupeana vyeo kiukoo kama mwendawazimu kwa kuwa limekugusa... jiwe limetupwa gizani na limekupata bara bara!
SEBM, nadhani somo hilo ulilolitoa linatosha kwa mtu yeyote mwenye akili timamu. Huyu SECURITY GUARD (tazama hata jina lake) linalinda kundi fulani! Haingii akilini mtu kuanza kupingana na mtumishi wa Mungu bila kufaham background yake na uhusiano wake kijamii. Mtu akikemea ufisadi, ulafi, makundi aaaa basi nimpinga CCM! Acha fikra hizo!
Tanzania tumeshakuwa na marais Wakatoliki na waislamu safari hii piga ua lazima Lutheran au Anglikana T.A.G kabisa hatutaki kuminyana sisi.
Huyo padre ndo wale wale wanaohubiria waumini viwango wa sadaka wanasotakiwa kutoa. Huyo itabidi CAG amfanyie auditing ili kujua utajiri wake manake analala anaota utajiri.
Ni Mtumishi wa Bwana YesuHivi kwa akili yako unategemea Padri Mapunda atakuwa chama gani.
kama ambavyo shehe atakuwa. Hivi alishataja kuwa anapenda chama gani? Au mnafikiria kwa kuwa anayoyakemea yanafanana na yanayokemewa na padri?hivi kwa akili yako unategemea padri mapunda atakuwa chama gani.
Padri Mapunda alipata ubunge lini?Padri Mapunda, Mchungaji Peter Msigwa, Mchungaji Israel Y. Natse, Dr Slaa...wote kambi moja ya Chadema kazi kweli kweli naona list imekamilika.
Hivi kwa akili yako unategemea Padri Mapunda atakuwa chama gani.