Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,648
Spika Anne Makinda akitoa salamu za rambi rambi kwa Rais wa zanzibar Dr. Ally Mohamed Shein kufuatia ajali ya meli iliyotokea hivi majuzi.
Ikumbukwe ni spika huyu huyu aliyekataa kusitisha shughuli za Bunge siku ambayo ajali ilitokea.
Picha kwa hisani ya MICHUZI blog.