watu hawa hawana amani na uongozi wao. Guilty conscious inawatafuna. The only consolation waliyo nayo ni ubabe na virungu. Mioyo yao inawashtaki.
nahisi kujilipua manake hii ccm wanatufanya sie mabwege sana naamini zengwe litakaloibuka hapa tz halijawahi kutokea nchi yoyote hata iraq haitaona ndani huu ni udhalimu na ina uuuuuuuuuuuuuuuma sana. Big sam mwingimba unatisha ila ukweli huu unatufikia wachache sana itoe kwenye makala tanzania daima, mwanahalisi na raia mwema.