EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,090
Nilikuwa hospitali ya mkoa leo na nikaona kitu kikanikumbusha nilichowahi kuwaza siku moja mbona hawa manesi wa hospitali za serikali hasa wa huku mikoani hawana mvuto hivi! Hivi hawa mabinti wa siku hizi si wanaweza kuwa discouraged na muonekano wao na wasipende kazi hiyo?