Rais yuko kusini anaelekea nachingwea,msafara wake ni atleast gari 40 ivi. Mi natatizwa na suala hili. Kwani kuna ulazima wa kila mtu kuwa kwenye uo msafara! Kwa nini wengine msimsubiri kwenye maeneo yenu. Jamani kuna masuala muhimu yanahitaji kushughulikiwa na serikali kwa nini tunatumia gharama kubwa kwenye mambo yasiyo ya msingi. Aaaaaaagh mnaboa sana sisiemu.