nice 2
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 747
- 520
Licha ya juhudi za wazi za baadhi ya vyombo vya habari kama Mwanahalisi kumchafua Zitto, wananchi wanasema wanamuamini. Angalia nyomi la Mwanza Zitto peke yake alivyofunika kwenye uzinduzi wa campaign za udiwani!
Zitto na Slaa ndio viongozi pekee wa CHADEMA wenye kuweza kufanya mikutano peke yao bila "package" ya timu nzima ya juu na kupata umati wa watu. Hivi karibuni tumemuona Zitto Tanga, na sasa hii ni Mwanza.
Zitto na Slaa ndio dream team CHADEMA, wanaowagombamisha waache. CHADEMA is stronger with Zitto na Slaa.
Jionee video za mkutano wa Mwanza
Zitto na Slaa ndio viongozi pekee wa CHADEMA wenye kuweza kufanya mikutano peke yao bila "package" ya timu nzima ya juu na kupata umati wa watu. Hivi karibuni tumemuona Zitto Tanga, na sasa hii ni Mwanza.
Zitto na Slaa ndio dream team CHADEMA, wanaowagombamisha waache. CHADEMA is stronger with Zitto na Slaa.
Jionee video za mkutano wa Mwanza
Last edited by a moderator: