EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,091
Tangu mjadala huu umeanza naona watu wote wameng'ang'ania habari ya DED na DC lakini napata tabu kidogo, wakati amendments zilizoletwa zinataka kuondolewa kwa DC na kuwekwa DED, wabunge wote wa CCM wanagoma. Hilo sio tatizo kwangu ila tabu ni pale wabunge hao wanapokosa sababu za kwanini wanamtaka DC na sio DED zaidi ya kusema ndiye mwenye polisi, khaaa kwani watu wanaenda kupiga kwata huko?