LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
WanaJF!! Hapa Arusha, Tangu saa 8:30am ya asubuhi ha2kuwa na umeme line hii ya Sakina mpaka saa 6:55pm ndiyo unarudishwa. Sasa mi najiuliza shida ni nini hashwa? Mwenye chanzo anijuze wajamen! Excuse for that!!