Roxea
Senior Member
- May 18, 2012
- 182
- 48
Watu wawili walikua wakicheza karata porini(last card),Mara wakapita wakulima, wakasikia sauti ikisema, "weka jembe chini" wakayaweka majembe yao chini mara tena "weka kisu" wakaweka visu chini "Toa kopa" wakaangaliana hawana kopa...... "weka mavi chini" ikabidi mmoja kati ya wakulima hao akunye palepale. Kidogo wakasikia "kama huna mavi zamu yako kulamba" ikabidi yule hajakunya alambe ya mwenzake Mara wakasikia
"GAME OVER" Wakastuka kumbe kuna watu walikua wanacheza karata,sa ndo ikakua ivo bhana huu mchezo.............
"GAME OVER" Wakastuka kumbe kuna watu walikua wanacheza karata,sa ndo ikakua ivo bhana huu mchezo.............