Bhbm
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 714
- 208
Jamani ile ahadi ya bwana HU kuwa atarudi na ule mwendelezo wa kumuonya JK juu ya mtandao fulani hatari ndani ya chama vipi mbona kimya? Alisema kuwa angerudi na 3rd part ya hiyo story lakini mpaka leo kimya ilihali ile ya 2nd part haikuchukua muda mrefu toka ile 1st part ilivyoanza. Mkuu chakula kikipoa hakinogi mkuu..