jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,780
Hivi hii mtuhumiwa ya sasa 2015 ina tofauti na mtuhumiwa aliyokua ametoa miaka ya nyuma?
Maana mi mwenyeww nimeshangaa kua mtuhumiwa imetoka wakati kitabu hiki kilikuwepo?
Naomba nijibu plZ maana kesho nataka nikachukue copy yangu fa6 pale biafra..
Tuwa ni tsunami ktk liwaya za kibongo
Riwaya ya Mtuhumiwa pale awali ilisimuliwa kwenye Gazeti la "KIU"
Kwa mujibu wa Tuwa mwenyewe kwenye Gazeti ilibidi akatishe sana na kupunguza matukio mengi sana ili tu kumaliza haraka.
Nje ya hapo Riwaya hii haijawahi kuchapishwa popote pale.
Kamata nakala yako Mkuu