Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,413
- 55,986
Ulishahi kusoma hadithi za Musiba, kama sanda ya jambazi, kikomo no 1 na no 2 na vingine vingi alivokua akitunga kabla ya kuzuiwa na serikali, ama wewe ni kizazi kipya?
kizazi cha kipya
Ulishahi kusoma hadithi za Musiba, kama sanda ya jambazi, kikomo no 1 na no 2 na vingine vingi alivokua akitunga kabla ya kuzuiwa na serikali, ama wewe ni kizazi kipya?
Wewe kujiita "TIGGA MUMBA" tayari inaonyesha nani unamkubali.
Wamfahamu JADU MFAUME? Nimekukumbusha ee?
Kwa nini alizuiwa?Ulishahi kusoma hadithi za Musiba, kama sanda ya jambazi, kikomo no 1 na no 2 na vingine vingi alivokua akitunga kabla ya kuzuiwa na serikali, ama wewe ni kizazi kipya?
Unakosea sana kusema Tuwa alibahatisha,hii inatokana na kuwa labda hujafuatilia sana riwaya zake.
Jamaa sio mmiliki wa gazeti lolote so huwa anatoa kwenye gazeti la kiu kwa kupokezana either na Beka Mfaume au Amri Bhawji.
Mfano wa riwaya ambazo nimezisoma za Tuwa ni
1.Mkimbizi
2.Mtuhumiwa
3.Utata wa 9/12
4.Mdunguaji
5.Bondia
6.Mfadhili (tena hiki kitabu kilichukua hadi tuzo ya MacMillan na kikawa kinatumika mashuleni kwa wale wa wanaosoma Kiswahili advance)
Nimesoma hadithi za Shigongo nyiingi saana ila uwezo wa Hussein Issa Tuwa upo juu sana.Tafuta kitabu chake hata kimoja nakuhakikishia hutojuta na nnauhakika utajiunga katika chama cha Tuwa ktk riwaya
Ahsante.
Hivi hii mtuhumiwa ya sasa 2015 ina tofauti na mtuhumiwa aliyokua ametoa miaka ya nyuma?Na Mtuhumiwa kitabu kimetoka jana..
Kwa wanaotaka wawasiliane na "0766 000 663" na "0655428 085"
Shigongo ni sio muandishi bali ni mkalimani anayecopy kazi za watu na kutafsiri kwa kiswahili kisha huweka jina lake kama yeye ndo kaandika riwaya hiyo.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Hussein tuwa ni best aisee
bahati mbaya sana sijazisoma hizi unazozisemea za mtuhumiwa na mkimbizi ila mwaka 2004-2005 nilisoma hadithi zake mbili znaitwa
utata wa 9/12
na mdunguaji
yaani nashindwa hata kuzielezea ni balaa shigongo hamna kitu
Hivi hii mtuhumiwa ya sasa 2015 ina tofauti na mtuhumiwa aliyokua ametoa miaka ya nyuma?
Maana mi mwenyeww nimeshangaa kua mtuhumiwa imetoka wakati kitabu hiki kilikuwepo?
Naomba nijibu plZ maana kesho nataka nikachukue copy yangu fa6 pale biafra..
Tuwa ni tsunami ktk liwaya za kibongo